Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Hawa CCM wako shallow kinoma, how comes tangu asubuhi hadi sasa mkutano unaisha hakuna picha za kueleweka au ndiyo mwisho wa CCM huko Arumeru?

Watajuta kuiba kura na kuwafanya wananchi wajinga....
Inamaana hujaziona hapo juu au unasubiri za photoshop...
 
maana hakuna wanaopiga picha wala kutoa live updates actively?
 
kwa maana hiyo mwitikio ni mdogo sivyo?

Mkuu tathmini yangu binafsi ni kuwa wahudhuriaji walio wengi wamefika kusikia ccm wana lipi jipya, na vilevile hawa wamechanganyikana bila shaka cdm ndio wengi zaidi.. CCM imekula kwao!
 
(8) maandamano yanatarajiwa kuanza kutoka sehemu kuu nne ikiwa upande Kaskazini yataongozwa na Samweli SITTA,Kusini Chenge, Mashariki Chiligati na Magharibi ni Nape na Rostamu

Nilidhani hawa ni 'black sheep' kwenye CCM!
 
Wapga domo wengi wa ccm wanakelele humu Jf tu. Kwenye mikutano hawaendi. Inawezekana wanataka posho nyingi.
 
watu ni wengi kweli kweli,wabunge mbali mbali wa ccm wamesambaa jimbo zima kata zote

nakwambia ni kijani kila mahali,kuanzia kikatiti hadi sanawari na philips

pikipiki baiskeli,bajaj,ford na waenda kwa miguu ni bendea na shamrashara za hapa na pale

hapa USA River ndio siseme,hapatoshi nyomi ya mtu hata sehem ya kupishana hakuna

nawaona vongozi wa Uvccm mkoa wa arusha wanapita wakihamasisha watu na kipaza sauti kila kona ya USA hadi leganga na tengeru kuhudhuria uzinduzi wa kampeni
Watu kama nyie ndio mnaochanganya na kupotosha watu mnajifanya mko eneo la tukio kumbe mko mbali hata nje ya nchi....
haya sasa mbona hutupi updates ya kinachozunguzwa kwenye mkutano.
 
Hapa umma unapotoshwa,hamna watu,wachache kama wale wa mrema pale manzese argentina.
 
Mkuu tathmini yangu binafsi ni kuwa wahudhuriaji walio wengi wamefika kusikia ccm wana lipi jipya, na vilevile hawa wamechanganyikana bila shaka cdm ndio wengi zaidi.. CCM imekula kwao!

Asante kwa tathimini ambayo nami najituma kuiamini.
 
Wana JF wa magamba muwe mnaenda kwenye mikutano ya Chama chenu ili tuwe tunapata updates!!:sleepy:
 
Mleta mada vipi CCM wameweka hii kitu?
CCM+Kampeni.png

hehehe ..... Imao LoL jamaa mwenye tshirt nyekundu mboa kashika kitabu huku anahesabu plate....?
 
Wapga domo wengi wa ccm wanakelele humu Jf tu. Kwenye mikutano hawaendi. Inawezekana wanataka posho nyingi.

Kama wengine niliowakuta muda si mrefu hp A town!

Wamevalia mikofia yao ya rangi ya njano utafikiri wanasubiria kulipwa mshahara!

Mijitu mingine hovyo kweli kweli!
Mido
 
jamani watu hakuna kabisa kwenye uzinduzi wa CCM,ni malori tu ndiyo yanaona yakiwaleta watu.
 
Back
Top Bottom