hiyo inawezekana ni ccm kirumbaHuyo anataka picha kama hii ndio aridhike.
View attachment 49157
TBC-tv wameambiwa wasiende live kuficha aibu hiyo ni baada ya kusoma hali ya upepo.maana hakuna wanaopiga picha wala kutoa live updates actively?
Huyo anataka picha kama hii ndio aridhike.
View attachment 49157
Kampeni za CCM 2010 na hiyo ni photoshop, ndio wataalam wakaiwekea miduara myeupe kwamba kuna mtu mmoja humo anaoneka mara nne kwenye picha moja!!Mkutano wa JK mwaka 2005.
Hahaha you made my day.Ha ha ha,kampeni rahaa..
Mwenyekiti Mstaafu(Mkapa) amejaribu
kuwakebehi CHADEMA kwa kusema
wao hawana sera,wao sera zao ni
kusema ''PEOPLES'' cha ajabu takribani
nusu ya umati umejibu POWERRRRRR.
Unamaanisha miti, mahindi, migomba au?nakwambia ni kijani kila mahali,kuanzia kikatiti hadi sanawari na philips
Leteni picha jamani mpaka tuwabembeleze!Mkapa ameshamaliza sasa sioi ndio anapanda jukwaani.
Aibu ya mkutano kudorora, hawawezi kurusha... Kungekuwa na umati sahizi hata JK asingeachiwa tbc1....maana hakuna wanaopiga picha wala kutoa live updates actively?
Wana JF wa magamba muwe mnaenda kwenye mikutano ya Chama chenu ili tuwe tunapata updates!!:sleepy:
Mkapa ameshamaliza sasa sioi ndio anapanda jukwaani.