Nipo maeneo ya Usa natokea Boma. CCM ndo wamemaliza mkutano wao, magari-coaster na mabasi Fuso na magari madogo ni mengi na yamejaa watu wengi na kusababisha jam (thanx to Polisi wanaongoza magari). Nachokiona ni kuwa wengi wa waliohudhuria mkutano wanatoka nje ya Jimbo.
Tunapishana na CDM wanatoka Tengeru, wana CCM na CDM wanapishana na kusalimiana kishabiki bila tatizo. Watoto wadogo wanapungia msafara wa CCM kwa ishara za V!
Polisi wanafanya patrol na magari barabarani, hali ni shwari.
Mkuu pole sana,walikupiga pini kwa sababu gani?walikuwa hawaruhusu kupiga picha?Well said mkuu, waudhuriaji walio wengi ni kutoka nje ya arumeru! Wakuu nilishindwa kutoa updates wanausalama walinipiga pini, sasa niko huru!
wacha hebu tupe picha kama ya kwelinakwambia ni kijani kila mahali,kuanzia kikatiti hadi sanawari na philips
Well said mkuu, waudhuriaji walio wengi ni kutoka nje ya arumeru! Wakuu nilishindwa kutoa updates wanausalama walinipiga pini, sasa niko huru!
Nasikia wanasombwa na malori tangu jana hadi leo.Wapo waliotoka Monduli,Loliondo mpaka wapare wapo.
Ndugu, tunaomba UPDATES za wakati hasa wa tukio, maana naona kama picha za mwanzo zilikuwa wakati wa MAANDALIZI ya mkutano wenyewe.mungi ukifanikiwa kupata picha ni vizuri sana...
Nasikia wanasombwa na malori tangu jana hadi leo.Wapo waliotoka Monduli,Loliondo mpaka wapare wapo.