Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

kwanza si utamaduni wa JF mtu mmoja kuripoti each n everything kwenye tukio kubwa kama hili tunatarajia coverage kutoka kwa watu mbali mbali so mleta mada aache uzushi au atuambie kama yeye ndo mtoa ratiba na mc wa huu uzinduzi kwa cc tuliopo huku jf
 
Yani mpaka raha kweli CCM inatisha na itashinda kwa kishindo kama alivyosema Mwigulu Nchemba,hongera sana wana CCM kwa mshikamano na umoja mlio nao kweli umoja ni nguvu na utengano ni dhaifu,watu wanashangilia CCM! CCM! CCM!
Raha ipi kuona viti vingi au.
 
Wapenzi, wafuasi na wanachama wa chama makini chama cha Mapinduzi mkutano ndio unaanza rasmi wananchi wa Jimbo la arumeru wa rika na jinsia zote wamejitokeza kwa wingi sana hapa katika viwanja vya mkutano muda c mrefu tutawapa link ya kupata hutuba zote zitakazotolewa live

Mkuu sio TBC tena! Ama kweli mmebanwa!
 
Heko Wananchi wa Arumeru nadhani kwenu ubwabwa T-shirt na kofia si mali zaidi ya utu wenu,enzi za CCM,wananchi wangelala hapo uwanjani wakiwangoja viongozi,leo hii wanabembelezwa jamani RIP CCM,inafurahisha wana Arumeru toeni somo la kutakata kwa CCM chama cha magamba
 
Katikati mbona hawaonekani kwenye picha au wanamalizia make ups na kuvaa hereni zao
 
Acha ushabiki usio na Tija, JK ni zaidi ya Baba na Mama yako unapaswa kumheshimu plz
Ningekuwa na baba kama JK ningemkana mahakamani!!

Afadhali niitwe Bigirita Mtikila kuliko kuwa na baba wa aina hii 8 x 8 - 64 = ??
 
wana CDM wapo kama elfu mia hivi na wako kwa nyuma wana observe...
 
haya bana!! Tujuze current pics, ili sisi tuliombali tuone jinsi wananchi wanavyofaidi na kanga na chakula!!
 
inasadikika wana arumeru hawajajitokeza kwenye mkutano % kubwa ya watu wameletwa na malori toka MWANGA UPARENI
 
Picha zimezungumza kila kitu ahsante mtoa mada == HAKUNA KITU
 
Looh Shame CCM the time for revolution has come good riddance Arumeru,I salute you guys
 
Arumeru ni kijani Tupu, Chadema wakimbia Mji; Nasari azomewa katika kampeni zake hivi leo
 
Back
Top Bottom