Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

ktk uzinduzi wa CDM mlituwekea link,wadau ktk hili la CCM pia tuwekeeni link ili nasi tupate kusikia nini kinasemwa huko

Ninashaka na uelewa wako wa jinsi JF inavyoendeshwa...

Kama washabiki wa chama husika hawaweki updates za zaarifa, basi ni tatizo lao wenyewe na wala JF haihusiki...

Kwani we uliweka link hapa na Invisible au Mod yeyote akaifuta??

Walaumu watu wa ccm na sio JF .
 
Pichaaaaaaaaaaa........ hapa napata mawili.........eidha wenzangu CDM wameona umati wakaogopa kuweka picha au CDM wako Tengeru Mkutanoni kwenye mkutano wa CDM.......japokuwa na kwenyewe picha teeeeeee............ hatujaletewa au CCM wameona watu hakuna hata kurusha picha wameogopa.

Mkuu hilo la CDM walete update za magamba live haliwezekani wakati wao wana mikutano yao,sie tunataka Katibu mwenezi wa Magamba na team yake watuletee live,si alisema jana kuwa leo ni funga kazi uzinduzi,mbona wamenywea kama mkate wa boflo ndani ya kikombe cha chai,kulikoni Arumeru?
 
wapeleke mabasi kuchukua watu akeri wa sumari huko kwingine no.... CDM wameshamaliza....
 
Updates tafadhali na mapichaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tunayataka, hivi magamba mkoje???

Si mutuwekee maphotoooooo:bump2::mvutaji:
 
Nia yake ilikuwa kukejeri salamu ya CDM,matojeo yake imepokelewa kwa shwangwe kubwa na akabaki ameduwaa...
Chonde chonde CCM vijana wanakula CCM na wanalala CDM,mnatanguliza hela,poleni...Hizo hela zinachukuliwa na zinakwenda kutolewa Sadaka kwa CDM kama ilivyo fanyika siku ya uzinduzi wa CDM siku ya trh 9.3 pale viwanja vya shule ya Msingi Leganga....
 
Hakuna members wa magamba watuwekee picha humu? kweli aibu imewajaa
 
Sijaridhika kabisa na hizi picha kama ndo waliohudhuria,kama ndo hao kwenye picha basi CCM imekufa
 
Ha ha ha,kampeni rahaa..
Mwenyekiti Mstaafu(Mkapa) amejaribu
kuwakebehi CHADEMA kwa kusema
wao hawana sera,wao sera zao ni
kusema ''PEOPLES'' cha ajabu takribani
nusu ya umati umejibu POWERRRRRR.

hahaha nimeipenda hii!
 
Pichaaaaaaaaaaa........ hapa napata mawili.........eidha wenzangu CDM wameona umati wakaogopa kuweka picha au CDM wako Tengeru Mkutanoni kwenye mkutano wa CDM.......japokuwa na kwenyewe picha teeeeeee............ hatujaletewa au CCM wameona watu hakuna hata kurusha picha wameogopa.
Hivi wewe unategemea jirani akulishie watoto wako. Mizuka yao inayolipwa na Nape wala haihangaiki kurusha picha inasubiri kuja kuanza kubishana idadi ya watu, waambie hela wanazopewa wazitumie ipasavyo ikiwa ni pamoja na kurusha picha za mikutano.
 
hizo picha mpaka zibembelezwe wkt sasa muda wa kufunga mkutano umewadia,,,
 
Am totale fustrated, mwenyewe nimeipinda ratiba yangu kwa ajili ya "funika bovu" la magamba lakini hamna kitu
 
Jamaa yangu kaniambia uzinduzi wa hawa magamba unaoneshwa LIVE na SIBUKA TV, mpaka uwe na king'amuzi cha star times ndio unaishika hii station, mimi nipo mbali na tv, mlio karibu na tv mtujuze kinachoendelea tafadhari.
 
Back
Top Bottom