Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,838
- 5,294
NanaaInajulikana kwa jina hilo hilo kuwa ni mint au kuna jina la kiswahili hutumika?
Duh!Nanaa
Dahhh...umenikumbusha mbali,hii kitu hatari ila wanauzaga gharama sana hicho kisiniaChakula cha kieithiopia "ZIGNI" ni CHAPATI mchanganyiko wa unga wa ngano na mahindi.
ZIGNI huliwa na vitoweo au mbogamboga zilizo changanwa na na pilipili za kihabeshi, vyakula vao waeithiopia wanaweza wakala wao tu, mtu mwingine hawezi kutokana na wingi wa pilipili kali kichaa
View attachment 1864777View attachment 1864779View attachment 1864780View attachment 1864782View attachment 1864785
Mkuu hii mifupa inauzwa wapi?
Special order! 🤣Mkuu hii mifupa inauzwa wapi?
Wapi mkuu nami nitue hilo eneo?Napenda sana hiyo bone marrowSpecial order! 🤣
KE mtaani kwetu. Utafika? 😂Wapi mkuu nami nitue hilo eneo?Napenda sana hiyo bone marrow