Uzi wa vyakula tu

Screenshot_20210626_140332.jpg
 
Sellfish ndo mimi nawala wote haoView attachment 1828836
Perege hawa nikiwaona tu njaa hii hapa.
Kipindi flani natoka Mbeya nikamkuta maza mmoja anao pale Ipogolo - Iringa.
Ilikua simple tu hesabu wako wangapi kahesabu na kunipa idadi nikamwambia funga wote hela hiyo kapumzike.
Dah yule mama kwa mbali naondoka namuona kwenye kioo kapiga magoti analia na kumwombea.
Nikafika nao Sinza Hotel moja bana we sijui luxure blaa blaa mi nikatupia visamaki mle kwenye room freezer kumbe halifanyi kazi na liko on🤸‍♂️
Wiki nzima niko pale mpk naondoka samaki wamevunda balaa.
Fikiria ile picha yule mama muuzaji akipiga magoti kusali baada ya kununua beseni zima,halafu sasa nikatupe??
Sikupenda kwakweli
 
Perege hawa nikiwaona tu njaa hii hapa.
Kipindi flani natoka Mbeya nikamkuta maza mmoja anao pale Ipogolo - Iringa.
Ilikua simple tu hesabu wako wangapi kahesabu na kunipa idadi nikamwambia funga wote hela hiyo kapumzike.
Dah yule mama kwa mbali naondoka namuona kwenye kioo kapiga magoti analia na kumwombea.
Nikafika nao Sinza Hotel moja bana we sijui luxure blaa blaa mi nikatupia visamaki mle kwenye room freezer kumbe halifanyi kazi na liko on
pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom