Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Perege hawa nikiwaona tu njaa hii hapa.Sellfish ndo mimi nawala wote haoView attachment 1828836
pole sanaPerege hawa nikiwaona tu njaa hii hapa.
Kipindi flani natoka Mbeya nikamkuta maza mmoja anao pale Ipogolo - Iringa.
Ilikua simple tu hesabu wako wangapi kahesabu na kunipa idadi nikamwambia funga wote hela hiyo kapumzike.
Dah yule mama kwa mbali naondoka namuona kwenye kioo kapiga magoti analia na kumwombea.
Nikafika nao Sinza Hotel moja bana we sijui luxure blaa blaa mi nikatupia visamaki mle kwenye room freezer kumbe halifanyi kazi na liko on
Kimeumana!!! 😛😋 Nyama isiyo stress! 🤣Sema kimeumana View attachment 1831236
MashaAllah. Mle kwa afyaLast night
View attachment 1831880
Hiyo ni juice ya nini mkuu.?
Rafiki punguza kula vyakula vyenye sukari nyingi.MashaAllah. Mle kwa afya
Hapo mkuu . Papai passion embe carrot parachichiHiyo ni juice ya nini mkuu.?
Sawa mkuu, ntakunywa kimoyo moyoHapo mkuu . Papai passion embe carrot parachichi
Huu wali haujaiva....niamini....
Huu wali haujaiva....niamini....
Nishaaza mkakati best wangu.Rafiki punguza kula vyakula vyenye sukari nyingi.