ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,649
- 57,042
Mate
Pole... 😂 😂 😂Nimeingia humu na njaa zangu nimepata heart attack
Piga makopo matatu ya maji baridi, itakupa time kiasi za kujipanga... 😂Havipoi ndugu yangu![]()
Ndo changamoto zenyew tunazokumbana nazo. Mwenyew anakwambia hatak tumbo kubwaPole sana,ili kubalance mambo mwambie awe ananunua wenye ngozi halafu nyama anayokula yeye anatoa ngozi ya kwako anaiacha,mi mwenyewe napenda kuku na ngozi yake
Msosi uko wapi Angel? 🧐😬
Ugali mmwa mboga mmwa. Sa itakuwaje

PajeMsosi uko wapi Angel?![]()
Hehe, haiwezekani shaitan akanifanya hivyo! 🤔 Hapo naokota sembe pole pole, alafu niifanye ka nachambua chungwa maganda, top layer naitoa alafu kitu nikirudishe jikoni faster. Hapo pa mboga, ka ni kuku, namwosha, tena naenda mtafutia tamata zingine, niseti urojo upya, ka ni mboga za majani, wacha kuku wakale waongeze kilo! 🤣 🤣 🤣
Ha ha haaaaa haaa. Makandamoyo ndio yepi hayo. LolKesho tupikie maamri na makandamoyo tafadhali![]()