The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,990
- 45,415
Mambo ni motoooooo aisehhhh kumbe kipenzi changu unajua kuniweka karoho juu juu, huyo kuku unammaliza peke yako haiwezekani nipo njiani




Umejua kunivuruga kabisa hahahaahhaa ahsanteee kipenzi changu
Sio chakula ila ni tunda
Doriani! Umenikumbusha habari ya mfalme Juha yeye alidai hazipendi dorianiAh rafiki we huachii, karibu zenji ule madoriani msimu unaisha tenaaaa


Nitakuja aiaehhhh nataka nikija zenji unipeleke nikale urojoooo hahahahaha na pweza, nasiki pweza ni wazuri sana kwa mambo yale makubwa makubwaAh rafiki we huachii, karibu zenji ule madoriani msimu unaisha tenaaaa
Mfalme juha alikua mfalme wa hovyo sana kutokoeaDoriani! Umenikumbusha habari ya mfalme Juha yeye alidai hazipendi doriani![]()




Hahah, Yani hapo nimekupatia kweli kweli baba Mjengo, wahi tule wotee😍Mambo ni motoooooo aisehhhh kumbe kipenzi changu unajua kuniweka karoho juu juu, huyo kuku unammaliza peke yako haiwezekani nipo njiani![]()
Haya matunda yanaitwaje? Yanaliwaje? Ukiyakata ndani yakoje?
Doriani! Umenikumbusha habari ya mfalme Juha yeye alidai hazipendi doriani![]()
Nitakuja aiaehhhh nataka nikija zenji unipeleke nikale urojoooo hahahahaha na pweza, nasiki pweza ni wazuri sana kwa mambo yale makubwa makubwa
Ahsanteee sana kwa upendo hakika nimeshiba kwa mbali mambo mazuri mazuri haya thanks my dearHahah, Yani hapo nimekupatia kweli kweli baba Mjengo, wahi tule wotee![]()


Haya matunda yana miba nayaogopa etiView attachment 1638631
Madoriani, matamu sana ila harufu yake ndio yameingia ila


, ngoja nije zenji nasikia zenji kuna kila kitualaa!!! mie sijui mkuu. inawezekana lkn mana hio ni sifa moja wapo ya seafood
Sehemu gani zenji wanapika vyakula vya seafood vizuri na vitamuuu