Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Duuu umepikaje yanaonekana matamu
Duuu umepikaje yanaonekana matamu
Ni matamu kwa kweli yalikuaDuuu umepikaje yanaonekana matamu

Nimekaanga kitungu kwa dkk 1 nikaweka tomato paste kiduchu tu pili pili manga kidogo na cooking cream pia na matokeo yakawa hivo...maana nilipika ile basi tu yaani 

Hatari jamani, tutatoana roho bure
Huwa natumia maziwa fresh
Maziwa ya mgando sinywi kabisa..hivi na fresh hayafai??
Akhsante kwa ushauri mpenzi
Nitazingatia..
Ubarikiwe.
Hicho k/moto kimechemshwa au vipi
KumbeActually ya mgando ndio mazuri (yana bakteria ambao wanasaidia kupunguza bacteria wanaosababisha ulcers , H.pylori) ila ya fresh sio mazuri. Acha kabisa for now.
Kwelea+ avocado+pilipili+ndim kwa mbaliView attachment 1463565
Ndege uyoKwelea ndio kitu gani
Cooking cream imependezesha zaidiNi matamu kwa kweli yalikuaNimekaanga kitungu kwa dkk 1 nikaweka tomato paste kiduchu tu pili pili manga kidogo na cooking cream pia na matokeo yakawa hivo...maana nilipika ile basi tu yaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wangapi?
Hongera...


hongera zake jamaa anaekumiliki...hakika unastahili kuwekwa ndani, ungepata mume kama mimi ungeinjoy sana. Kila siku ingekuwa naingia jikoni mwenyewe someday tungekuwa tunashindana!














Mashallah mashallah.. kumbe umpishi mzuri ee... hongera sana!! Mwenye nafasi yake atakuja mtaahindanaHongera...hongera zake jamaa anaekumiliki...hakika unastahili kuwekwa ndani, ungepata mume kama mimi ungeinjoy sana. Kila siku ingekuwa naingia jikoni mwenyewe someday tungekuwa tunashindana!
![]()
Mbona umeukata ivo ugali?