amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Niko safarini boss.
Nilichokula leo mkoa niliopo.
Niko safarini boss.
Mimi nilikumiss sana.View attachment 1460802
Mpo jamani nimewamisss... Haya kuleni kwa macho biriani ya prawnshiyo Mpishi mwenyewe
Mimi nilikumiss sana.
Unaniinspire mno upande wa vyombo wewe na da Tima kule mapishi fb.


ushanijua Eeh Shukran love 
Siku nyingi sana naachaje kukujua sasa kule niko active na huku pia.ushanijua Eeh Shukran love
![]()
Chips na pilau. Za siku mingi lakini.
Nimetamani hiyo mboga ya majani!

View attachment 1460802
Mpo jamani nimewamisss... Haya kuleni kwa macho biriani ya prawnshiyo Mpishi mwenyewe







Wewe ndugu nimekumiss balaa!!nilikuwa na vitu vyangu vya kukuuliza nikawa sikuoniView attachment 1461093
Jihogo na chuzi la chukuchuku la jodari
Wewe ndugu nimekumiss balaa!!nilikuwa na vitu vyangu vya kukuuliza nikawa sikuoni

nimerudi was busy na Ramadan