Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
mkuu dont take it serious tunaibaga google
Jana nilijiapisha ndo mwisho kula chipsi doh ila naona kiepe kinaniita tena na leo 😂
Hahaa mkuuJana nilijiapisha ndo mwisho kula chipsi doh ila naona kiepe kinaniita tena na leo![]()


Yaani 😂😂
Yaani ni hatari hii obsession na chips ni mbaya
Mm nikiweza kuja kuacha nikawa nakula matunda tu ntafurahi sana maana siwez napenda chips adi sio vizuri apo nmekula mchana saiv mate yamejaa mdomoni natamani nile tena chipsYaani ni hatari hii obsession na chips ni mbaya
Kuna muda nilikuwa naweza kuacha kula nikawa na nakula matunda nmeamini kila jambo na wakati wake![]()


Hahaha Mimi sipendi kujipikia mwnyw ndo tatizo hapo ila ningeweza kuachaMm nikiweza kuja kuacha nikawa nakula matunda tu ntafurahi sana maana siwez napenda chips adi sio vizuri apo nmekula mchana saiv mate yamejaa mdomoni natamani nile tena chips
Sent using Jamii Forums mobile app