babulakibaha
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 287
- 326
Safii. Unakula peke yako au?
Safii. Unakula peke yako au?
Yaah! Ni kweli namuona pembeni kulia!!View attachment 624665 tambi kwio kwa hisani ya anayenipa furaha



Pilau laTupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula![]()
![]()
View attachment 566179View attachment 566180
Sent using Jamii Forums mobile app

Familia..jumapili leo![]()

Huyu bwana mdogo namfahamu Yupo pale magomeni Mapipa almaarufu kilo tatu

Mchicha na nyama ya kuku, nimeunga na nyanya, kitunguu, karoti, pilipili hoho nikaweka na tui zito la naziNitajie mchanganyiko wa vilivyomo humo. Nataka nipike na mimi.
Ahsante, siku nikipika utaona mrejesho hapa kwenye uzi husikaMchicha na nyama ya kuku, nimeunga na nyanya, kitunguu, karoti, pilipili hoho nikaweka na tui zito la nazi
Dah OG...!!!
huyo ni mkalli sana. hongeraView attachment 624665 tambi kwio kwa hisani ya anayenipa furaha
![]()
ki model changu, closer to the bone, the sweeter the meat
![]()
asubuhi niliamka hivi
Haya mambo ya kulingishiana maakuli si Njema jamani wengine ni vitu adimu hadi kwa kuvikosa tunaviota usingizini twala nyama kumbe tunatafuna godoroDah OG...!!!
