Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Sio mapya ya kawaidaaYule hujarekebisha unipe mambo mapya.
Sio mapya ya kawaidaaYule hujarekebisha unipe mambo mapya.
Hahaahaaa kabisa Fanya unitupie vitu nikipata mda nikarangishe.Ugali dagaa umekulevyaa sio
Hzi za nazi au kuchemsha tu.Sio mapya ya kawaidaaView attachment 898084
Hapo hamna nazi ,,mchemsho wa kawaida tuHzi za nazi au kuchemsha tu.
Ooh sawa sawa.Hapo hamna nazi ,,mchemsho wa kawaida tu
Mi sijaonaNimeshau save hata kama umefuta![]()

Sikushindi ww mara piza mara biriyanOoh sawa sawa.
Unajipenda..
Nikwambie siri mojaSikushindi ww mara piza mara biriyan
Mke wako ana raha sana kama hujaoa atapata raha sana sio kwa mahanjumati hayo

Mi sijaona![]()



ulikua wap leo tumemwona chaliiifransisco
(natania)NiambieNikwambie siri moja![]()
![]()
Nilichogundua nyinyi wanawake mnapenda sana zawadi na pia mnapenda sana vyakula.Niambie
Hahahhahaha ur right kabisaaaNilichogundua nyinyi wanawake mnapenda sana zawadi na pia mnapenda sana vyakula.
Kwaio kukaa kwangu nikaanza kutamani sana kujua kupika,leo hata kma ntakua na mshkaji wangu wa kike na nikaweza kumpikia vizur basi sijui kwanin hunikubali tu bila kushusha voko.
Yeah umesema kweliHhhh naona umefurahi![]()
![]()
![]()
Sahii najifunza vi snacks karibu tufunzane.Yeah umesema kweli
Hahahahaa inaonekana msosi ulikuwa mtamu sanaulikua wap leo tumemwona chaliiifransisco
Kajipost yeye badala ya msosi(natania)
Nifundishe tu na mm niwateke naskia mnapenda kula vzr sanaSahii najifunza vi snacks karibu tufunzane.
Yaan ilikua ndizi mixer waliHahahahaa inaonekana msosi ulikuwa mtamu sana
Nifundishe tu na mm niwateke naskia mnapenda kula vzr sana
bora uanze kuniteka mim.Ntakutekea nn wkt kama ni misosi ndo unanishinda hvyoo![]()
![]()
![]()
bora uanze kuniteka mim.