Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Wali,nyama,ndizi na vingine mwisho kula ilikuwa ni lini?Ndio nimeweka pilipili manga,cayene pepper,chumvi,mayonaiz,Na vinegar ni tamu balaa
Wali,nyama,ndizi na vingine mwisho kula ilikuwa ni lini?Ndio nimeweka pilipili manga,cayene pepper,chumvi,mayonaiz,Na vinegar ni tamu balaa
Huu mseto, si wa mchezo mpaka nimemezea mate
Nakula mchana.Wali,nyama,ndizi na vingine mwisho kula ilikuwa ni lini?
Hapo sawa bibie...Nakula mchana.
Napenda kula balaaHapo sawa bibie...
Ndo maana unanenepa tu hadi unaanza kula majani kama mbuziNapenda kula balaa


..nimeshakutengenezea hadi mwonekano wako ulivyo kichwani mwanguKama kawaida yako mzee...Waungwana karibuni, View attachment 894901
Loh kitu cha mpunga kinatamanisha balaaWaungwana karibuni, View attachment 894901
Kabisa chief..ngoja tujenge mwili, captain
Loh kitu cha mpunga kinatamanisha balaa
Kabisa chief..
Ndio mkuu..nalielewa sana..linasaidia pia mambo ya libido and staff..Nasikia wewe ni mpenz Wa dona
Hmm captain umeniacha hapo libido ni nini au ngumiNdio mkuu..nalielewa sana..linasaidia pia mambo ya libido and staff..

DuuhLibido ni nyege
