Uzi wa vyakula tu

Nimejifunza jambo hapa.. teh teh teh😁
 
mi ndizi sijawahi kuzielewa kabisa mara nyingi nikila zinaniletea kiungulia, myfvrt ni pilau, mihogo ya kuchemsha, magimbi na ugali dagaa,,

huku nilipo kuna mahali wanauza kuku ndimu yani kachomwa alf katiwa ndimu kama yote ni mtam balaa
Yahani wewe unayo matatizo, kwamba chakula kinakuletea kiungulia halafu ugali na mchele havikusumbui!!?.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…