Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,230
Mbona maharage mabichi hujala
Aahahahaa ndugu yangu, hizi menu za take away unawekewa kila kitu kwenye boksi.
Ila kula ni hiari yako....😂😂😂😁
Nikajisemea haya mapishi khaaa...!!! Sasa waliona uvivu gani kumenya hizo harage au njegere....
Nakula salad na mambogamboga ila hiyo ilinishinda, sijui ndo ushamba....😅😅😅.
Acha hiyo, kuna siku nikakuta nimewekewa prawns wabichi, wee bwana nikawachambua nikaenda jikoni kuwakaanga ndo nikala na mlo noliofungashiwa...😅😅😅😅.
Tumbo lina kazi sana aiseeh.