Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mbona maharage mabichi hujala

Aahahahaa ndugu yangu, hizi menu za take away unawekewa kila kitu kwenye boksi.
Ila kula ni hiari yako....😂😂😂😁

Nikajisemea haya mapishi khaaa...!!! Sasa waliona uvivu gani kumenya hizo harage au njegere....

Nakula salad na mambogamboga ila hiyo ilinishinda, sijui ndo ushamba....😅😅😅.

Acha hiyo, kuna siku nikakuta nimewekewa prawns wabichi, wee bwana nikawachambua nikaenda jikoni kuwakaanga ndo nikala na mlo noliofungashiwa...😅😅😅😅.
Tumbo lina kazi sana aiseeh.
 
Aahahahaa ndugu yangu, hizi menu za take away unawekewa kila kitu kwenye boksi.
Ila kula ni hiari yako....😂😂😂😁

Nikajisemea haya mapishi khaaa...!!! Sasa waliona uvivu gani kumenya hizo harage au njegere....

Nakula salad na mambogamboga ila hiyo ilinishinda, sijui ndo ushamba....😅😅😅.

Acha hiyo, kuna siku nikakuta nimewekewa prawns wabichi, wee bwana nikawachambua nikaenda jikoni kuwakaanga ndo nikala na mlo noliofungashiwa...😅😅😅😅.
Tumbo lina kazi sana aiseeh.
Hua ninashangazwa sana na hizi menu..

Kwenye picha zinaonekana vizuri sana kuliko uhalisia wake mdomoni... 😂
 
Waungwana kwema?!!
1721939072131.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom