Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,155
😂 why?Umeolewa??
😂 why?Umeolewa??
Amekuwa kama kachemshwa kawaida 😂😂Kawa mtamu???
Mbona hizi shortcuts zitakoma!😁😁
Yani ukiwa na kauvivu kakupika unatupia tu kwenye microwave! 🤗Amekuwa kama kachemshwa kawaida 😂😂
Itayokoma ni hiyo microwave.
Naomba hiyo sahani😊
Chele harage la kwenda..
Hako ka msimbazi hapo pembeni weka kwenye namba 07678 jina ni mpende mperenge..
Hizo punje za garlic vipi mkuu??
Zinasaidia morning glory hiyo au hujui zinaboost mananiliu huku chini 😁Hizo punje za garlic vipi mkuu??
Hizo punje za garlic vipi mkuu??
😅😅😅😅😅 Umeogopa nn mkuuu ninangata kwaniNilitaka kuuliza nikaogopa!