Bangi mbaya sana!!
Sijui kwanini hilo duara hapo katikati na hiyo mikunjo imenifanya nisisimke..nimefananisha na kitu Fulani..
Kama nawaona wengine wanavyofikiria hapo

Kuna watu wanapigia nyeto donati

Sijui kwanini hilo duara hapo katikati na hiyo mikunjo imenifanya nisisimke..nimefananisha na kitu Fulani..
Mbona kama naona mavi
Anhaaa kumbe,dah kwel ushamba mzigoJamani wewekilikua kisamvu hiko looh!!
Sasa hyo jana ulishiba kwel hapo? Halafu ukitoka hapo unaingia uwanjan
Sio jana ni picha za mwaka jana nimezipost tu....ila nilishiba na kilibakisha.Sasa hyo jana ulishiba kwel hapo? Halafu ukitoka hapo unaingia uwanjan
Haya mamaSio jana ni picha za mwaka jana nimezipost tu....ila nilishiba na kilibakisha.
Hivi kisamvu kama upo dar hua mnakitoa wapi?Jamani wewekilikua kisamvu hiko looh!!
Mimi huwa naletewa ofisini...ila kwa hapo hotelin sijui walikitoa wapiHivi kisamvu kama upo dar hua mnakitoa wapi?