Peleka jukwa la matangazo.karibu kwa wale wa bata,bata aina ya pekin,wote majike Tsh 120,000/- kwa mmoja.mbezi beach,dial 0713246244
Chakula kidogo mboga nyingi,hapo ubwabwa uongezwe
Mshana naona unakulaga baa tu
Ya kugegeda😀 😀 😀 Majukumu ndugu yangu
Wenye meno imara wanafauduuu
Kudadadeki...Asubuhi na mimi nilikula hiyoView attachment 753365
yumiHapana ndivyo inavyotakiwa kiafya mboga mboga zinatakiwa ziwe nyingi katika mlo wakoChakula kidogo mboga nyingi,hapo ubwabwa uongezwe


Kwa heshima na taadhima, naomba kujua hiki ni chakula gani.
Samahani mkuu, huu ni uzi wa picha za vyakula tu.