Hizi cake unauza au unapokea oda?
Hizi cake unauza au unapokea oda?
Hiyo keki kama kitumbua namuuzia nani?Hizi cake unauza au unapokea oda?
Huyo samaki mbona ana sura mbaya hivyo🤣🤣🤣🤣
mimi napenda kula bwana kupunguza nimeshindwa.Ah ok....kumbe unajua kupika pika. Hongera ila punguza winginwa chakula
mimi nikipika kambale huwa natoa vichwa labda kama kuna wageni. Ila wa kwangu kichwa natoa kinatisha.Huyo samaki mbona ana sura mbaya hivyo
Dah we acha tu ndugu yangu asubih nilipenda sana kwenda Kupata supu ya sato pale kamanga ferry rast garden Nouma sanaNIMEPAMISI MWANZA KULE UNAKULA VITU NATURAL TOKA ZIWANI
Huyo samaki mbona ana sura mbaya hivyo
Sii waniuzia mie mzabzab....nipikie mieHiyo keki kama kitumbua namuuzia nani?
Najifunza za kula nyumbani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Uje uchukue bureSii waniuzia mie mzabzab....nipikie mie
Sawa ukishabake uniambie nikuje
Hiki ni kitu gani?
hii combo balaa