Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

1655250445857.jpg
 

Ulizidisha moto???

Ni ngumu kukadiria moto wa chini..ila wa juu ni rahisi maana unachungulia tu,na una adjust upendavyo.
Nahisi nilizidisha moto wa chini. Maana ilitoka chini imeungua kama mkaa 🤣. Ila juu Sasa nzurii. Hadi birthday ya mwanangu ikaharibika, Kwa kujifanya ujuaji. Ningeenda nunua hata yasingenitokea 😅🙆
 
Back
Top Bottom