missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,008
- 7,338
Nimependa
Nimependa
Nawapenda sana hawa dagaa, kila siku usiku nakula hawa dagaa,Viazi vitamu,parachichi,chai ya tangawizi na maharage au njegere.
Hao ndio mpango mzima yaniNawapenda sana hawa dagaa, kila siku usiku nakula hawa dagaa,Viazi vitamu,parachichi,chai ya tangawizi na maharage au njegere.
Nimetimiza azma yangu.Kapike tu mama. Hamna namna...
Asante sana, nitamtafuta feriUkienda soko la samaki ulizia Kolekole ni samaki bora, tatizo upatikanaj alafu anakubalika kwa mapishi yote kukaanga, supu ww tu
Wife material, bado najipanga nimalizane na kaka yako. Maana najua nikiacha buku kwa siku home mambo yanakwenda vizuri tu!Nimetimiza azma yangu.View attachment 2025373
Wife material, bado najipanga nimalizane na kaka yako. Maana najua nikiacha buku kwa siku home mambo yanakwenda vizuri tu!
Swala sio kubana matumizi bali hata nikikuachia buku, maisha yanakwenda!
Nilipika nyingi tu,basi tu nilimegua ninazoweka kumaliza.
Usije ukadhani nabana matumizi ,mimi siyo waifu matirioView attachment 2025639
Hata jero tu maisha yanaendaSwala sio kubana matumizi bali hata nikikuachia buku, maisha yanakwenda!
Nampenda sana mtu anaejipimia kiasi cha chakula na aie anaejijazia kisha hamalizi na kukimwaga!!
Hapo kwenye kunukia nitakununulia mwenyewe kutoka ZenjiHata jero tu maisha yanaenda
Hapo ujue kuna sehemu utacompansate,,kama siyo kwenye nguo basi ni kwenye kunukia.
Ewaaaraaa.Hapo kwenye kunukia nitakununulia mwenyewe kutoka Zenji
Hela nitakayoiacha nyumbani ni kwa matumizi ya nyumbani tu, hayo mazaga zaga nitakuwa nakununulia mwenyewe!!Ewaaaraaa.
Namixigi yote yale madude yote ,udi+ marathon ya kuogea +perfumes.
Hela ambayo ningekula kuku naitumia huko.
Kwahiyo shughuli ni ileile
Samaki na Watoto wake, Uchu umenikamata hapa.