Me tiles nauza aina zote..
Za box na reject
Kwa mfano..40*40 za box nauza 26500, 40*40 za reject ambzo ziko nje ya box nauza 22000
Hii hata mimi nimetumia hv karibuni maana nilikariri white cement.Halafu sikuhizi mafundi wengi wanashauri kutumia wall puty badala ya whitecement inaokoa gharama
kuskimKwenye kujengea ama?
Umepata maeneo ya wapi?Shukran nimepata tiles kwa bei rafiki, tiles ni rejected but zipo kwenye hali nzr sn sn shukran sn
Sio mbaya ukasema unauzia wapi?Pia tiles za reject size ya 60*60 nauz 25,000, za box nauza 35,000
Kimara corner 40*40 ni 23
Me tiles nauza aina zote..
Za box na reject
Kwa mfano..40*40 za box nauza 26500, 40*40 za reject ambzo ziko nje ya box nauza 22000
SafiKimara corner 40*40 ni 23
Kumbuka kuwa ile Futi kamba huwa imekatwa, urefu unapunguzwaView attachment 2577931
Duh,
Ina maana mdau alienunua kila futi kwa TZS 700 kweli kapigwa parefu tu.
Nenda maeneo ya sabena ama mcheki huyu ndugu yangu yupo maeneo ya sabena +255766372268Kwa yoyote anaejua vifaa vya ujenzi bei rahisi kwa Arusha tuwasiliane
Ungeweka sababu ungeeleweka zaidi Mkuu,Uvimo tukiwa Kama wajenzi wa muda mrefu, tuna shauri wanao jenga au wanao nuia kujenga kuwa making Sana kwa kila hatua ya maamzi wanayo fikia.View attachment 2606389View attachment 2606390
Ni kweli mkuu, ila maana kuu ni kuwa makini, sababu ni nyingi sana.Ungeweka sababu ungeeleweka zaidi Mkuu,
Kabisa, hata gympsum board huwa tunafanya hivyo, unanunua board nzima na rejected (zilizokatika kiasi). Hizo rejected unatumia sehemu ambazo zinahitaji vipande. Hata cement pia kuna zile ambazo wakati wa kushusha zinatoboka, nazo huwa wanauza kama rejected (unakuta wanakuuzia 10,000 badala ya 15,000)Kimara corner na uzuri unafika pale unaangalia ukiona hakuna unazotaka unaweka oda yako, zinakuwa zimevunjika kdg sn kwenye angle kitu ambacho sio issue sn maana mafundi zile hua wanazikata maaana ata hizo mpya ni lazima ukute zimevunjika na lazima zikatwe hakuna nyumba inakosa vipande vya tiles, so kwa sisi wa kuunga unga inafaa sn
Cement rejected zinapatikana wapi Mkuu?Kabisa, hata gympsum board huwa tunafanya hivyo, unanunua board nzima na rejected (zilizokatika kiasi). Hizo rejected unatumia sehemu ambazo zinahitaji vipande. Hata cement pia kuna zile ambazo wakati wa kushusha zinatoboka, nazo huwa wanauza kama rejected (unakuta wanakuuzia 10,000 badala ya 15,000)
Ukihitaji ramani au makadirio ya material ya ujenzi tuwasiliane
Ulizia hardware, uwe makini usije ukauziwa cement za wizi ukajikuta matataniCement rejected zinapatikana wapi Mkuu?
Kinaitwa sunbank mcheki huyu jamaa 0685572320Kiwanda gan kaka kinatoa bei hyo
Brand ya bati ni sunbank wanauza bati za rangi za aina zote wacheki 0685572320 Kwa maelezo zaidiLengo la huu uzi ni kusaidiana watu wapate bidhaa za ujenzi kwa bei rafiki, sasa wewe hutaji hata ni bati gani na ziko wapi watu watafaidikaje?
Location bossPia tiles za reject size ya 60*60 nauz 25,000, za box nauza 35,000