Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza Cybersecurity,Jinsi ya kujizuia kupata Cyber Attack Pia Ethical Hacking kutumia Termux na Linux enviroment

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,606
17,753
Dunia ya sasa imejaa technological advancements nyingi ambazo zimeathiri kila eneo la maisha yetu,

kutoka kutuma na kupokea pesa Dirisha la mhasibu hadi kufanya hivyo mtandaoni tena bila kuonana na mtu yoyote...

Kutoka kusoma chini ya mti hadi kusoma ukiwa sebuleni kwako au chumbani kwako huku ukinywa na kuvuta fundo safi la sharubati Ya Tende Shake...

Au kurahisishiwa manunuzi au shughul yoyote unayotKa kufanya mtandaoni.

Hata hivyo, Waspaniola wana msemo wao..
"Pero, no obstante, donde la belleza existe y la fealdad llega rápidamente."

kiswahili "Penye mazuri Ubaya unakujaga kwa kasi sana"

Kwenye uzi huu tutang'amuana kuhusu Cybersecurity, How to avoid Cyberattack na Jinsi ya kutumia Tools kama Termux na Linux kwa ajili ya kufanya hivyo tutajifunza kutoka Basic commands kuja kwenye complex commands Karibuni....


Disclaimer: Nasisitiza kwamba uzi huu ni kwa madhumuni ya elimu tu na sihimizi uvunjaji wa sheria au kudukua taarifa za wengine, Ni muhimu kutambua kuwa vitendo vya kudukua au uvunjaji wa usalama wa mtandao ni kinyume cha sheria no 11 ya mwaka 2022 Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na pia Cybersecurity Act ya 2015..
 
Nifundisheni jinsi ya kuhack social media accounts kuna mtu nataka nimfanyie spying
Hakuna nchi yenye ''wataalam'' wa IT wanaojua theories nyingi kama Bongo. Kwa kifupi wanachuo wengi wa mwaka wa kwanza kwenye kila chuo kikuu cha Bongo, wamebobea kwenye mambo ya ku-hack na wanajua softwares nyingi mno. Mtu yoyote akiweza ku-reset simu au ku-retrieve deleted items kutoka kwenye recyle bin ya computer anajiita hacker.
 
Hakuna nchi yenye ''wataalam'' wa IT wanaojua theories nyingi kama Bongo. Kwa kifupi wanachuo wengi wa mwaka wa kwanza kwenye kila chuo kikuu cha Bongo, wamebobea kwenye mambo ya ku-hack na wanajua softwares nyingi mno. Mtu yoyote akiweza ku-reset simu au ku-retrieve deleted items kutoka kwenye recyle bin ya computer anajiita hacker.
Eeehh ndugu yangu mbona unatumia silaha kubwa kubwa za Nyuklia
 
Hakuna nchi yenye ''wataalam'' wa IT wanaojua theories nyingi kama Bongo. Kwa kifupi wanachuo wengi wa mwaka wa kwanza kwenye kila chuo kikuu cha Bongo, wamebobea kwenye mambo ya ku-hack na wanajua softwares nyingi mno. Mtu yoyote akiweza ku-reset simu au ku-retrieve deleted items kutoka kwenye recyle bin ya computer anajiita hacker.
Hahahahahah
 
Tatizo la wabongo wanapenda ku fake, mtu hayuko deep ila anataka atambulike hivyo
Nasemaje. Ukitaka kujua tuko tupu kwenye haya mambo basi jifanye unatafuta mtu wa kukufanyia kazi hizi za IT tena za kawaida sana halfu uende kwenye hawa wataalam wanajitapa kila kukicha.
 
Hakuna nchi yenye ''wataalam'' wa IT wanaojua theories nyingi kama Bongo. Kwa kifupi wanachuo wengi wa mwaka wa kwanza kwenye kila chuo kikuu cha Bongo, wamebobea kwenye mambo ya ku-hack na wanajua softwares nyingi mno. Mtu yoyote akiweza ku-reset simu au ku-retrieve deleted items kutoka kwenye recyle bin ya computer anajiita hacker.
Yeah ni kweli kabisa mkuu Unajua maswala ya IT huwa ni wito kuna rafiki Angu ni IT na amehitimu ila hawezi hata kutengeneza ka website ka mchongo....
 
Nasemaje. Ukitaka kujua tuko tupu kwenye haya mambo basi jifanye unatafuta mtu wa kukufanyia kazi hizi za IT tena za kawaida sana halfu uende kwenye hawa wataalam wanajitapa kila kukicha.
Wengi ni weupe nakuunga mkono kabisa
 
Hakuna nchi yenye ''wataalam'' wa IT wanaojua theories nyingi kama Bongo. Kwa kifupi wanachuo wengi wa mwaka wa kwanza kwenye kila chuo kikuu cha Bongo, wamebobea kwenye mambo ya ku-hack na wanajua softwares nyingi mno. Mtu yoyote akiweza ku-reset simu au ku-retrieve deleted items kutoka kwenye recyle bin ya computer anajiita hacker.
 
Hakuna nchi yenye ''wataalam'' wa IT wanaojua theories nyingi kama Bongo. Kwa kifupi wanachuo wengi wa mwaka wa kwanza kwenye kila chuo kikuu cha Bongo, wamebobea kwenye mambo ya ku-hack na wanajua softwares nyingi mno. Mtu yoyote akiweza ku-reset simu au ku-retrieve deleted items kutoka kwenye recyle bin ya computer anajiita hacker.
Hakukosea yule mtu aliyesema "Nchi ya Tanzania ni chaneli ya vichekesho mbinguni"
 
Back
Top Bottom