ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
- Thread starter
- #201
Kuna watu wanalia dunia haiko fair.Dunia Mungu kaiumba vizuri lakini binadamu hakuna fair Kuna mtu mnafanya naye kazi na ishu hamjui maskani kwake wapi.ghafla anakufa mwili wake wanachukua polisi.mtu Kama huyo ambaye amekuja mjini bila ndugu anatakiwa atulizwe umwite Kama ndugu unaenda mpaka kwake unahakikisha Yuko katika makazi.tunafanya kujua na kuulizia hekima ya wengine .yaani Kama una knowledge utuambie knowledge haifai kufichwa.