Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,339
😂😂😂😂😂😂😂😂Polepole Numby!!
Jamaa anachezea nambamzee mwenzenu ni wa kuwa nae makini sana hasa linapokuja suala la miaka
Nashukuru bro, tumeshaingia kumi la mwisho.Waa'alyequm salaam bro, mfungo tunaendelea nao...kwema hapo bro? Ni matumaini yangu kuwa mfungo utakuwa unaenda salama pia hapo...
Mzee Shimba hatari sana
🤣 🤣HUJATENGWA... Pata Pesa tuu uone utakavyo zungukwa na Marafiki, na jamiii kwa ujumla kukuliza nini kifanyike.
Duh!! hapo anatoka na vibao..