Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,069
Hata hivyo, ushindi dhidi ya Spurs na Chelsea unampa kichwa, ukionesha akiwa na wachezaji sahihi anaweza kufanya vyema lakini vipigo, kama hicho cha huko Belarus, vinaacha wengi wakikuna vichwa vyao, wakivaa na kuvua miwani. Bado ana nafasi ya kurekebisha mambo.