Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,069
Sarri ambaye alichukuliwa kutoka Napoli katika dirisha kubwa lililopita kuziba pengo la kocha aliyetimuliwa, Antonio Conte, amekuwa akilalamika wachezaji wake wamekosa hamasa ya kusaka ushindi tofauti na ilivyokuwa katika siku za mwanzo ambapo kikosi chake kilikuwa mwendo mdundo na ilionekana kama vile kingefanya makubwa msimu huu.