Kitengo hicho cha afisi ya wapiganaji kina takriban kati ya maafisa 200-300, ambao nusu yao ni walinzi na waliosalia ni madereva na wafanyikazi wa kiufundi.
Mbali na hilo wana kinywaji , chakula na sigara zozote ambazo bwana Kim atataka kutumia wakati wa ziara yake Singapore na watachunguza chakula chochote ama kinywaji kabla ya kupakuliwa.
Lake Natron Tanzania Mt Kilimanjaro (from Kilimanjaro West/Mkomazi /Arusha National Parks Tanzania Oldonyo Lengai Mt (Mt of God for Massais in EA) spitting fire Tanzania Thanda Private Island Mafia Tanzania The snow cap of Mt Kilimanjaro Tanzania The Serengeti (endless plains) Tanzania...
Wamiliki wapya wa Newcastle Saudia wanapanga kuitegemea Ujerumani katika jaribio la kupata mafanikio ya Jurgen Klopp na Thomas Tuchel katika ligi ya England.
Mshambuliaji wa Chelsea Mjerumani Timo Werner, 25, ndiye mchezaji anayelengwa zaidi, pamoja na kiungo mlinda lango wa Bayern Munich na Mjerumani Niklas Sule, 26, Kiungo wa kati wa Barcelona MBrazili Philippe Coutinho, 29, na meneja Mjerumani kama vile meneja wa zamani wa Dortmund Lucien Favre. (Bild - in German)
The Magpies wamewasiliana na wawakilishi wa kiungo mlinda lango wa Ufaransa anayechezea timu ya Leicester City Wesley Fofana kuhusu uwezekano wa uhamisho katika dirisha la uhamisho wa mwezi wa Januari. (RMC Sport - in French)
Kiungo wa kati wa Juventus na Ufaransa Adrien Rabiot amehusishwa na uhamisho wa Newcastle , huku klabu hiyo ya Serie A ikiwa tayari kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 mwezi Januari ili kuweza kutafuta fedha za kumnunua kiungo wa kati wa Monaco na raia wa Ufaransa Aurelien Tchouameni au kiungo wa kati wa Manchester United na Uholanzi Donny van de Beek, 24. (Calciomercato - in Italian)
Monaco wameweka bei ya euro milioni 60 kwa kijana mwenye umri wa miaka 20 Tchouameni, huku Real Madrid, pamoja na Manchester City, Chelsea na Liverpool wakimtaka mchezaji huyo. (Marca - in Spanish)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.