Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,390
- 205,811
Wewe nae utafanya watu tuje Kolomije kuendesha bodabodaOooiiii bora nikajilengeshe kwa boda au kwa konda wa daladala kuliko kujitekenya kwa matunda aiseee
Wewe nae utafanya watu tuje Kolomije kuendesha bodabodaOooiiii bora nikajilengeshe kwa boda au kwa konda wa daladala kuliko kujitekenya kwa matunda aiseee
Wazee wa mjini hao ving'ang'anizi kama niniHawa wazeee hawa mmmh ni shida
Angalizo nililiona bro
Demu anaweza kusepa kumbe kabaki na kipande cha kiungo cha mtu ndani. Coconut sio poa
Mi leseni ninayo tayariWewe nae utafanya watu tuje Kolomije kuendesha bodaboda
Hio issue ya Coconut ilitokea humu nahisi jana bro ila inahusiana na mambo yetu yaleCoconut ndiyo ishu gani bro
Hahahaha king banaWewe nae utafanya watu tuje Kolomije kuendesha bodaboda
Hahah! Basi tutasababisha ajali nyingi hapo mtaani kwaoMi leseni ninayo tayari
Hio issue ya Coconut ilitokea humu nahisi jana bro ila inahusiana na mambo yetu yale
Naahindwa kuwa specific kutokana na kwamba sina uhakika kama upo interested na hayo mambo bro 😀😀Mambo gani bro kuwa specific bro
Hahah! Binti mpole bhanaHahahaha king bana
#ujimtamu
Naahindwa kuwa specific kutokana na kwamba sina uhakika kama upo interested na hayo mambo bro
View attachment 1156641
Afadhali. Maandaeitini walikuwa mpaka wanajiua kisa hawana likes za kutosha. Mpaka kuna makampuni ya kuongezea likes kabisa unawalipa wanatumia bots wanakuwekea likes ulizonunua. Hapa uzini ni mwendo wa kudeploy mafyekero hata 30 kama unayo