Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,394
- 205,818
Hahah! Ngoja nakutumiaAcha nao hao waongo naomba picha ya kucha hahahaha
Hahah! Ngoja nakutumiaAcha nao hao waongo naomba picha ya kucha hahahaha
Wampe tu timu yake mambo yaishe kha !!!Kilomoni
Spare? Utashangaa. May be limoja huku na lingine kule...au yote mule mule ohooooHahah! Noma sana, naona hilo moja lipo kama spare endapo jingine litavunjika wakati wa kuandika Coconut
Oooiiii bora nikajilengeshe kwa boda au kwa konda wa daladala kuliko kujitekenya kwa matunda aiseee
😂😂😂😂😂😂Uliona lile angalizo la coconut eeeh!?
Imagine ndo unachoreshwa hiyo coconut reverse cowgirl na toto lenye msambwanda wa kufa mtu. Wasipokukuta kwenye front page ya magazeti ya Shigongo na title ya "Njemba Yazimikia Lodge. Demu Asepa Mazima" basi shukuru Mungu
Akilimali
Hawa wazeee hawa mmmh ni shidaKilomoni
Wanasema hawamtambui lakini kila siku anawatoa mapovu, wangekaa tu waelewane naona kila mmoja ana malalamiko ya msingiWampe tu timu yake mambo yaishe kha !!!
😂😂😂😂😂😂 aiseeSpare? Utashangaa. May be limoja huku na lingine kule...au yote mule mule ohoooo