Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,212
- 1,077,431
Ukivurugwa na ukawa huna utamaduni wako katika dunia hii ni kizungumkuti. Jamaa yaani wapo wapo tu masikini hawana mbele wala nyuma. Hatuchekani nao kwa sababu hata sisi japo tuna utamaduni wetu lakini tunaudharau na hatutaki kutangamanishwa nao...Uko vizuri poti! Wanaokoteleza maneno machache ya Kiswahili!