secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,504
Ok, ninaposema baniani ni wahindi waliozagaa,Unataja watu wageni kwangu.
Unaweza kunidadavulia rafiki yangu.
Ili nipate kuwajua.
Kinaga ubaga nipate kuwatambua.
Au pengine ninawajua.
Ila labda majina uliyotumia.
Ndiyo yananisumbua.
Mex Cortez ndiye Manimendra kurap anajua,
yeye anaasili ya Sri Lanka Tanzania amezamia,
Yupo ndani ya tamaduni music hip-hop ya TZ anainyanyua,
je unaukumbuka sera ya gabacholi ya Mtikila ama laa?