Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

Niko na wewe mwashambwa, unayeita mama mama,
Ukitazama maisha yako Kama kitobo kilichofunikwa na nyama,
Hivi buku saba inakulipa au ndo unalalia mayai viza? 😹😹

Cc; Lucas Mwashambwa
Nukimkamata huyo dogo namfunga kamba,
Nitakuwa namlazimisha dushelele langu kuilamba,
then nikimvaa nahakikisha anapasuka msamba,
tena nitakuwa namshughulikia kwenye shamba.
 
Kweli mwasifika kwa mashairi yenu mwanana.
Hapa nitarudi, kusoma tungo mwanana.
Hakika mwafurahisha, kwa tungo za zilizosoma.
Vipaji vipo hapa, wanangezi waje kusoma.
Jf yatamalaki, kuwatunza watu adabu.
Karibuni visononko, kuja kuiba mistari.
Tamati sifiki, bali nasikilizia wazushi.
Ukijichanganya nakuchanganya, kwani kazi yangu kuwachanganya.
Hakika mwanifurahisha, uwepo wangu jf hauboi.
 
Kwa kweli mbali nimetoka na nimefika mbali,
Sifanani na wewe wa hapo kijiweni Mwakaleli,
unawalawiti wanyama hapo mtaani kisa huna Mali,
Hebu nakusihi toka hapo ghettoni wewe Ali
La svyo utadhalilishwa sana na huyo mkeo aitwaye pili,
hutaki kufanya kazi unaamini pesa hupatikana kwa kusali,
pambana sana dogo muda bado upo huu ni mwezi July.
Unazungumzia ghetto, wakati kwako panya wamefurika,
Unaleta mambo ya mke, kisa maisha yamekushika na kukotaka.
Eti unadai mi sisali, wakati fuvu lako limepasuka,
Mistari haina hata kazi, imepwaya kama ringi iliyochoka.
Unajifanya upo juali, kumbe njaa inakutafuna na kukuharisha,
Hapa ground mimi ndio bosi, hii michano yako naizimisha
 
Unajisifu una level za Uingereza, wakati hata visa huna,
Upo hapa hapa Bongo, unakomaa na kula kimasikhara jf,
Unasema vita unaiweza, mbona baridi linakutetemesha?
Hiyo familia ukiona inajikusanya, ujue inakuja kukuzika na kukupoteza!
Unajiona upo juu, kumbe umebebwa na upepo wa dhoruba,
Huna jipya kwenye game, mistari yako imechoka kama tairi chakavu la guta
Eti Traore ndivyo unavyojiita.
Ila kiuhalisia hauwezi vita.
Sasa leo pabaya umegusa.
Nakuahidi utajuta.
 
Mkali hizi ishu nimekuja kwa bajaji,
Kabla ya kuja nilipiga kwanza maji,
wife alinipea kei na kunifanyia masaji,
sasa kaeni tayari kwa ya kikatili mauaji.
Ok hapa mistari ndio mtaji.
Na sio tu uropokaji.
Mimi mkali nawachana washkaji.
Hasa wale waletao ujuaji.
 
Kujiamini ndo msingi
Uwe janki au dingi
Kuwa makini wasikuweke kingi
Maana wana visa vingi
Ruka vigingi
Uisake shilingi
Umenena jambo la msingi.
Hakika bro sikupingi.
Kujituma pia ni msingi
Hakika utachomoza na ushindi.
 
Ni vile wengine hatubongi/
Ila tuna mistari fichua maovu kama Konki/
Tunapost JF kwa kutumia Nokia tochi/
Huogopi/
Chef nawapa ugali plain maana mme-lost/
Naona hamchani mnachambana ka' mashosti/
Aaargh!
Wewe ndio unaleta michambo.
Unaleta masimango.
Halafu unaonekana kwenye game sio wa kitambo.
Naona wenzio wamekufanya chambo.
 
shule zimefungwa
hawa watoto wa jf kujikuta wanatunga
wakati me ndo mchunga
wao ni mbuzi AKA mapunga
Bro usije kwa mbwembwe mwisho utoke na aibu.
Kwenye hii game kuja taratibu.
Huwezi nenda kwenye miziki ya kina Nasibu.
Ukishindwa kabisa imba taarabu.
 
Tazama, hamjani_tag ila ndo hivi nishazama,

Na tena, bila hiyana nawapelekea moto ile kinoma,

Nasema, mje mia kwa mmoja namba mtaisoma,

Daima, natena madini ukiyapata umepata neema,

Ona, nilivyozipiga puch hizi lines bila huruma
Ok bro relax.
Inaonekana huwezi rap kachukue taxi.
Ikusaidie kulipa tax.
Ukuze uchumi wako kwa kasi.
Hapa utakosa hata zero max.
 
Naona mwafrika mwenzetu ghana ameshakalishwa
Acha tulale zetu sisi ambao tumekesha
Hivi hili bara letu mbona linachekesha?
Ila ngoja tutulie tu labda Morocco watatuheshimisha
Africa kwenye mpira hawamo.
Wangejikita kwenye kilimo.
Soon timu zote za Africa zitafika ukomo.
Na hilo liwe somo.
 
Unajifanya unagawa koni, kumbe unalilia vocha ya jero,
Huyo 'Simba mzee' unayejiita, mbona unafukuzwa na kuku wa kienyeji kwa mkwara mmoja
Unajiona Chibu Dee wa mjini, wakati unanuka jasho la kubeba zege,
Mistari yako imepinda pinda, imechoka kama tairi ya baiskeli ya mshale!
Kilemba unachosema nikivae, nenda kamvike bibi yako akatambike,
Maana tangu umeanza kurap, unatoa sauti kama wanakupiga mande.
Unasema unajua kupuliza zezee, kumbe hata filimbi ya doria inakushinda pumzi,
Kuanzia leo ukiandika upuuzi kama huu, rudi shule ya msingi ukasome herufi!"
Troure una
Nukimkamata huyo dogo namfunga kamba,
Nitakuwa namlazimisha dushelele langu kuilamba,
then nikimvaa nahakikisha anapasuka msamba,
tena nitakuwa namshughulikia kwenye shamba.
"Mfunge kamba ni nimfunge shanga/mwehu namkata gogo vinabo waanue matanga!."
"Pigo zangu Nimoka mchomoko nachomoka/ ndani ya jf naacha visanga!".
"Namoka ,nafeli figo, DJ choka/ akili mingi buza to mwanamboka ,mduanzi nitofali laini lisilo na mchanga".
 
Kitambo jief kulikuwa na akina Malila,
Kila post ni nondo hakuna umbugila,
Mambo yamegeuka kama mzee kigaila,
Majukwaa ni mikorogo kama ya Dula makabila,
Dula makabila tahira asiye na dira/ mtoto wa kiume inakuaje pigo za dera?!.
Kkoo mpaka karume nadindisha kipira/ mtoto wa kino maskani ya machura, dula Leo kajaa mfumoni lazima atahara"!.
Kila biti namsukumia Askari kipara/ nakula kama mdeni wa tara,miamala, atoke mchecheme kama wastara
 
Back
Top Bottom