Now madogo muda wote ni ngono.Kitambo jief kulikuwa na akina Malila,
Kila post ni nondo hakuna umbugila,
Mambo yamegeuka kama mzee kigaila,
Majukwaa ni mikorogo kama ya Dula makabila,
NakubaliUmenena jambo la msingi.
Hakika bro sikupingi.
Kujituma pia ni msingi
Hakika utachomoza na ushindi.
Na haina haja ya kujisifia anayejua anajulikana.Kama kuweza naweza ila sipendi kujisifia,
Snitch ukinibeza hizi level huwez fikia
Ah!Wewe ndio unaleta michambo.
Unaleta masimango.
Halafu unaonekana kwenye game sio wa kitambo.
Naona wenzio wamekufanya chambo.
Wewe ndio una maigizo.Ah!
Nakuona na lafudhi yako kama Bambo/
Unakujakuja tu kuvamia mambo/
Salimia wakubwa kwanza, haujambo?/
Hii ni ishu serious sio maigizo ya Isidingo/
Uuwiiiii!! 😃😃Mkali hizi ishu nimekuja kwa bajaji,
Kabla ya kuja nilipiga kwanza maji,
wife alinipea kei na kunifanyia masaji,
sasa kaeni tayari kwa ya kikatili mauaji.
Jina lenyewe tu ni Nalia.Rappers wapo weak, kiufupi Hawajui kuchana...//
Nawaficha ka nyeti, kwenye chupi la mmama...//
Tazama!! Ulimi ni nyenzo, tungo ni product...//
Nimezaliwa kwa malengo, kuwafunza hii industry..//
Nawapa Thahadhari, Kabla ya hatari...//
Usiombe bato na Mimi,hii ni zaidi ya hatari...//
Ayatollah wako naishi kwenye kasri wewe umechoka,Unazungumzia ghetto, wakati kwako panya wamefurika,
Unaleta mambo ya mke, kisa maisha yamekushika na kukotaka.
Eti unadai mi sisali, wakati fuvu lako limepasuka,
Mistari haina hata kazi, imepwaya kama ringi iliyochoka.
Unajifanya upo juali, kumbe njaa inakutafuna na kukuharisha,
Hapa ground mimi ndio bosi, hii michano yako naizimisha
Namekubali mwanangu Miraji,Ok hapa mistari ndio mtaji.
Na sio tu uropokaji.
Mimi mkali nawachana washkaji.
Hasa wale waletao ujuaji.
Watu wazito wenye akili nyepesi kama pamba/Wewe ndio una maigizo.
Unajitafutia matatizo.
Kwa ku battle na watu wazito.
Soon utapata majuto.
Mkuu kweli wewe ni mwehu ndama,Troure una
"Mfunge kamba ni nimfunge shanga/mwehu namkata gogo vinabo waanue matanga!."
"Pigo zangu Nimoka mchomoko nachomoka/ ndani ya jf naacha visanga!".
"Namoka ,nafeli figo, DJ choka/ me akili mingi ,mduanzi nitofali laini lisilo na mchanga".
Yeah, nawanyoosha hawa viluwiluwi,Uuwiiiii!! 😃😃
😂😂 vina na mizani vimezingatiwaEti wananiita jambazi,
kisa sinyoi mavuzi,
mtaani nagawa dozi,
kwa wanaume wenye pozi,
wananifanisha na Muhoozi,
Yule mtoto wa kiongozi,
wa Uganda alombaka Rozi.
Nini maana ya Alhaji.Namekubali mwanangu Miraji,
Katika haya maisha mungu ni mpaji,
lakini kamwe mungu hawapi wanaodoji,
lazima kwanza uswali na uwe hujaji,
ndiyo maana secretarybird sasa ni alhaji 😎.
Wewe ndio ufuge kuku.Watu wazito wenye akili nyepesi kama pamba/
Hili chaka uliloingia si utapata kasumba/
Ushauri tu, punguza kujigamba/
Ukifuga kuku utauza maana unaongea pumba/
So utawalisha watanenepa utauza utapata mavumba/
Ila huku kwenye Hip-hop utaambulia majanga/ 🤭
Dahh !! 😄😄"Shamba unalima pamba , au ndo ushamba wakutembea unajamba?!"
"bwana mdogo ebu vaa kilemba, nikupe koni rambaramba!".
"Mi ni Simba mzee, huniwezi,we jike dume halima mdee !"
"njoo nikupulize kama zezee, uniite boss msafi mi ni chibu dee!"
"Nikuregeze puru mwendo wa choko mzee, nikuvishe shungi,usijitusu we ni anko tee!"