Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza na kwa kuzingatia JF ni uwanja mpana unaojumlisha wazazi, wamiliki wa shule, maofisa wa elimu wenye wadhifa tofauti na pia kwa vile waalimu wamo humu basi tukutane kujadili uwanja mzima wa Shule za Nursery, Primary na Secondary Tanzania.
Tutakosoa mifumo mbali mbali ya elimu, ada ambazo wazazi wanahisi ni uonevu kwa vile hazikuwepo mwanzoni.... kudorora kwa elimu ama performance ya shule.... nidhamu za wanafunzi na hata waalimu wao... na kadhalika.
Karibuni wana JF....
Cc Mshana Jr Madame S Khantwe snowhite Mentor Asprin Daby cute b Relief Mirzska farkhina Dreka BAK Watu8 Castr Nyani Ngabu BAFA
chaliifrancisco espy Hornet Zamazamani
Rebeca 83 Lizzy afrodenzi Sky Eclat
Tutakosoa mifumo mbali mbali ya elimu, ada ambazo wazazi wanahisi ni uonevu kwa vile hazikuwepo mwanzoni.... kudorora kwa elimu ama performance ya shule.... nidhamu za wanafunzi na hata waalimu wao... na kadhalika.
Karibuni wana JF....
Cc Mshana Jr Madame S Khantwe snowhite Mentor Asprin Daby cute b Relief Mirzska farkhina Dreka BAK Watu8 Castr Nyani Ngabu BAFA
chaliifrancisco espy Hornet Zamazamani
Rebeca 83 Lizzy afrodenzi Sky Eclat