The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
me sitaki kuwa specific na shule moja, lakini ningependa kuwa general kwa shule zote za kata. Kulingana ma maana halisi ya elimu na kipimo cha kutahini watahiniwa kuwa ni mitihani, na kwa vile elimu yetu imekuwa ikapambanuliwa kwa mfumo wa serikali na shule binafsi huku pia serikali kukiwa na shule za mkoa, wilaya na shule za kata. Lakini pia hapohapo serikali inajipambanua kuwa na shule zake kongwe na shule za vipaji huku treatments na ruzuku zikitofautiana kati ya madaraja ya shule hizo. Basi ninapendekeza mitihani itungwe kulingana na nature ya mazingira na uhalisia wa maisha ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi hao, haiwezekani mwanafunzi asiye na walimu wa kutosha, asiye na vitabu unampima sawa na mwanafunzi wa Marian, Mzumbe, St thomas feza n.k. Maon; mitihani itofautishwe kati ya shule za kata na shule zingize ili kuweza kuacess kile mwanafunzi amejifunza.