Changamoto ni nyingi sana.
Zile gheto zilikuwa zinapangishwa watoto wa kike na wakiume.
Mfano wewe unajenga nyumba yako vyumba kama kumi halafu unawapangishia wanafunzi.
Sasa unakuta mlango huu ni ghetto la wadada na mlango unaofuata ni ghetto la wakaka.
Kutokana na uduni wa maisha pia ililazimu kila ghetto tuishi hadi watu wanne wanne.
Changamoto.
Nilivyofika form 1 (njuka) nilipata ghetto ambalo pembeni yake palikuwa ghetto la wakaka ambao walikuwa form 4. Daah changamoto niliyopata pale haihathiki yaani.
Changamoto nyingine ni kusulubiwa na wana kijijini. Aisee kile kijijini wanakijiji wanapiga kama wanaua nyoka yaani. Ukikutwa unaenda dukani usiku au umevaa nguo za kimjini, au kuchota maji usiku (kumbuka hapo maji yanapatikana km kama 2 hivi) ni kupigwa na wengine walikuwa wanabakwa.
Kule pia tulikuwa karibu na kambi ya jeshi ya jkt oljoro nadhani. Sasa walikuwa wanawaita "makuruta'' wanatoroka wanakuja kule ni kubaka tuu.
Mungu mkubwa niliishi ghetto miezi mitatu tuu baba yangu akaja akanihamishia hostel ya kanisa ambayo ilikuwa ni private. Basi pale ikawa pona yangu.
N.B sikuwahi kubakwa, ila niliwahi kuchapwa fimbo kama mia na wanakijiji kwa kosa la kuvaa suruali na kitop (si unajua jamii za wamasai? Sasa Mimi nimetoka mjini nimezoea kuvaa vipedo). Na kesho yake ndiyo nilihama huko mtaani.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Wewe ni mchokozi
Olympio na Diamond hawana usimamizi mzuri wa wanafunzi. Very risky wa watoto.Olympio na Diamond Primary School Kipindi cha nyuma kidogo ada ilikuwa ni elfu hamsini na nadhani kabla ya hapo ilikuwa chini zaidi...Iliwezesha watu wengi kutoka familia za chini tuweze kupakimbilia....
Mambo yamebadilika pale nasikia wanakaribia hadi laki nne hvi kiasi kwamba masikini sisi wenye Ndoto japo ya kuwapa upeo kidogo wa lugha ya kiingereza watoto wetu waliotoka familia duni unazidi kuyeyuka...Inawezekana labda gharama za uendeshaji ni kubwa sana hvyo sitaliongelea sana hili...
Tambaza Sec school ni shule kongwe iliyokuwa bora sana Kipindi cha nyuma ila miaka ya karibuni imekuwa na kiwango kibovu cha ufaulu....kuna vitu naona vinavyosababisha hili mfano:
Suala la kuchelewesha wanafunzi kutoka shuleni mpaka saa tisa na ikiwa huduma ya elimu inayopatikana pale ni duni kama tujuavyo shule zetu za serikali walimu ni wavivu na hawawajibiki ipasavyo...Hivyo wanafunzi wanakosa muda wa kwenda kutafuta vyanzo vingine na kupelekea kutegemea elimu itolewayo shuleni tu.
Nitarudi tena baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana usimamizi mzuri kwa upande upi???Fafanua vizuri..Japo ndizo shule tulizosoma sisi watanzania wenye maisha ya kawaida.Olympic na Di
Diamond hawana usimamizi mzuri wa wanafunzi. Very risky wa watoto.
Watoto wakishatoka shule wanakimbia barabarani.Hawana usimamizi mzuri kwa upande upi???Fafanua vizuri..Japo ndizo shule tulizosoma sisi watanzania wenye maisha ya kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah hili ni kweli kabisa palitakiwa hata polisi wa usalama barabarani wawepo kusaidia mana nje pale mpangilio ni mbovu sana school bus zenyewe wana park kiholela wanaacha wanafunzi wanakimbia huku na hukuWatoto wakishatoka shule wanakimbia barabarani.
Disculpa hermana. Pleaseno sé dónde estás, pero te encontraré y te voy a despline.
I insist "nisikukamate"
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Basi nipo vizuri.hahaha frequency zipo vuzuri zinasomeka kwenye sattelite
Kumbe wa magari ya njano.Hahahahaha. Primary nimesoma Maromboso -Baptist English Medium school!!
Vile tuu secondary iliniendea vibaya .
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Wewe na huyo Baby Doll kuna uzi wa watu wafupi niliona ni wakorofi.
Jamani kila mahali mimi naitwa dogo. Sijui nakwama wapi.Hahaha, huyo dogo alisema eti wanawake wafupi ni "assistant women", kila nilimwona nakumbuka.
Sana
Sasa ulishawahi kuona 'baby' mkubwa? Baby si ni mtoto?
Jamani hata baby madaha ni dogo?Sasa ulishawahi kuona 'baby' mkubwa? Baby si ni mtoto?
UsibadiliJamani hata baby madaha ni dogo?
Ngoja nibadili jina, maana kila mahali sipishwi hata siti wananiona dogo.
Sent using Jamii Forums mobile app