Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

Habari wakuu? Poleni kwa majukumu ya ujenzi wataifa.

Natafuta mshirika (partner) ambaye tutaweza tukafungua kituo cha kufundisha tuition, QT, resitters, english course pamoja na computer. Mimi nimefundisha vituo tofauti tofauti kwa muda mrefu nimeona muda sasa umefika nami nijisimamie.

Masomo niliyobobea ni ya Arts (Civics, History, Geography, English na Kiswahili). Kwahyo partner ninayemtafuta ni ambaye anamudu kufundisha masomo ya Mathematics, Chemistry, Physics na Biology. Sio lazima uwe muhitmu wa ualimu kikubwa uwe unamudu kufundisha na uwe na commitment tujitume tufanye kazi.

Nipo Dar es Salaam, ambaye yuko interested inbox ipo wazi.

Tukifanikiwa kuanza naamini mpaka mwakani wakati kama huu tutakuwa tumepiga hatua kubwa tu.

Ahsanteni
Nipo dodoma mkuu nina uwezo mkubwa kwenye physics kuanzia form 1 mpka 6
Ila chemistry ni o level tu
 
HABARI ZENU WADAU
Tunatoa huduma ya fumigation
1.majumbani kwa ajili ya kunguni, Mendes, tandu, mbu n. K
2.kwenye hotel
3.kwenye bar and guest house kwa maelezo zaidi njoo pm...!
 
Nina vifaa vya kuprint tshirts, kofia, sahani na vikombe lakini kutokana na majukumu niliyonayo, nakosa muda wa kukomaa na biashara hii mpaka nikafikiria kuviuza, kwa hiyo kama una capital ya kununulia plain tshirts hii ni fursa kwako na kwangu pia. Nitakuelekeza namna ya kufanya hii kazi na hata nikiwa na nafasi tutafanya pamoja. Haichukui muda mrefu kuprint tshirt moja, sekunde 20 mpaka 30 fulana moja inakuwa tayari.

Kwa ufupi mchanganuo ni kama ifuatavyo:
Plain tshirts 100 = tshs 650,000/=
Transfer papers 100 = tshs 250, 000/=
Jumla = tshs 900, 000/=

Kuuza: tshirt 1 = tshs 15, 000/= (jumla); rejareja tshs 17, 000/= mpaka 20, 000/= (huwa natengeneza mara moja moja nawakopesha wafanyakazi wenzangu na wengine wanalipa kabisa).

Kipindi hiki cha msimu wa korosho kule kusini biashara inafanyika, hivyo ni rahisi kupata soko kubwa kule.

Baada ya mauzo tunagawana faida kwa uwiano tutakaokuwa tumekubaliana maisha yanasonga.

Kama utaiona hii fursa ni yenye manufaa, karibu tuyajenge!
Kaka naomba nione sample ya kazi zako.
 
Nina vifaa vya kuprint tshirts, kofia, sahani na vikombe lakini kutokana na majukumu niliyonayo, nakosa muda wa kukomaa na biashara hii mpaka nikafikiria kuviuza, kwa hiyo kama una capital ya kununulia plain tshirts hii ni fursa kwako na kwangu pia. Nitakuelekeza namna ya kufanya hii kazi na hata nikiwa na nafasi tutafanya pamoja. Haichukui muda mrefu kuprint tshirt moja, sekunde 20 mpaka 30 fulana moja inakuwa tayari.

Kwa ufupi mchanganuo ni kama ifuatavyo:
Plain tshirts 100 = tshs 650,000/=
Transfer papers 100 = tshs 250, 000/=
Jumla = tshs 900, 000/=

Kuuza: tshirt 1 = tshs 15, 000/= (jumla); rejareja tshs 17, 000/= mpaka 20, 000/= (huwa natengeneza mara moja moja nawakopesha wafanyakazi wenzangu na wengine wanalipa kabisa).

Kipindi hiki cha msimu wa korosho kule kusini biashara inafanyika, hivyo ni rahisi kupata soko kubwa kule.

Baada ya mauzo tunagawana faida kwa uwiano tutakaokuwa tumekubaliana maisha yanasonga.

Kama utaiona hii fursa ni yenye manufaa, karibu tuyajenge!
Location please.....
 
Nahitaji bar lady mwenye idea ya resta(sio waitress mwenye idea ya bar) asiyekua na kazi(jobless).

Pia awe flexible.

Tuma cv(pdf) whsap chap.
Ama tuma maelezo mafupi ya wasifu wako wa kazi, atleast weka profile
Picture kwa wasap yako tuone unafananaje


Nafasi ni moja tu,vigezo na masharti kuzungatiwa.
Kama huna vigezo achana nayo utapoteza mda na nauli yako bure.

Hii kazi ni bure hakuna rushwa ya ngono wala pesa.

Location:Zanzibar na Mtwara
0715270707.
 
Nahitaji bar lady mwenye idea ya resta(sio waitress mwenye idea ya bar) asiyekua na kazi(jobless).

Pia awe flexible.

Tuma cv(pdf) whsap chap.
Ama tuma maelezo mafupi ya wasifu wako wa kazi, atleast weka profile
Picture kwa wasap yako tuone unafananaje


Nafasi ni moja tu,vigezo na masharti kuzungatiwa.
Kama huna vigezo achana nayo utapoteza mda na nauli yako bure.

Hii kazi ni bure hakuna rushwa ya ngono wala pesa.

Location:Zanzibar na Mtwara
0715270707.
Imeshapata mtu
 
Mimi ni copywriter mwenye uzoefu naweza kuandaa matangazo na kutengeza headline za mauzo katika biashara "online business" ambazo zitakusaidia kuongeza faida na wateja wapya katika biashara yako.

Na pia natoa ebook Bure ya jinsi ya kufanya biashara kwenye WhatsApp yako

Natanguliza Kwanza kazi ukipenda ndo tunaongea biashara. Kalibuni WhatsApp +255625089702
 
Mimi ni Accountant.

Natafuta mtu mwenye uhitaji wa usaidizi katika kazi za kuhasibu and related field. Bure kabisa, kwa ajili ya kuongeza exposure kwenye accounts, Finance, tax and related fields.

Location: Arusha
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuniikikupendeza pm
 
Mimi ni kijana wa miaka 28 nina story ambayo naiandikia screept kama kuna mtu yeyote wa fani au anaye weza kuinunua tutafutane ila shart ni moja lazima na mimi niwepo kama muigizaji katika hiyo movie
ahsanteni sana
Neno screept lenyewe umekosea kuandika hiyo kaz je...all in all kila la kher mkuu
 
Ofa ofa!!!!Naunganisha GB 72 kwa mwaka mzima kwa mtandao wa tigo kila mwez utapata GB 6 Ambazo unatumia siku 14 kila mwez kwa mwaka mzima
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 2 kuungwa
Wanaohitaji njoo Pm
Huduma zote malipo Ni baada ya kaz nahitaji watu walio seriously TU pm usije pm kunijaribu Kama maelezo hayajitoshelez niulizie hapa hapa
Karibuniikikupendeza pm
Huduma bado ipo Kama unahitaji pm
 
Nina vifaa vya kuprint tshirts, kofia, sahani na vikombe lakini kutokana na majukumu niliyonayo, nakosa muda wa kukomaa na biashara hii mpaka nikafikiria kuviuza, kwa hiyo kama una capital ya kununulia plain tshirts hii ni fursa kwako na kwangu pia. Nitakuelekeza namna ya kufanya hii kazi na hata nikiwa na nafasi tutafanya pamoja. Haichukui muda mrefu kuprint tshirt moja, sekunde 20 mpaka 30 fulana moja inakuwa tayari.

Kwa ufupi mchanganuo ni kama ifuatavyo:
Plain tshirts 100 = tshs 650,000/=
Transfer papers 100 = tshs 250, 000/=
Jumla = tshs 900, 000/=

Kuuza: tshirt 1 = tshs 15, 000/= (jumla); rejareja tshs 17, 000/= mpaka 20, 000/= (huwa natengeneza mara moja moja nawakopesha wafanyakazi wenzangu na wengine wanalipa kabisa).

Kipindi hiki cha msimu wa korosho kule kusini biashara inafanyika, hivyo ni rahisi kupata soko kubwa kule.

Baada ya mauzo tunagawana faida kwa uwiano tutakaokuwa tumekubaliana maisha yanasonga.

Kama utaiona hii fursa ni yenye manufaa, karibu tuyajenge!
Uko wapi boss,tuongee vizuri
 
Jamani mwenye uitaji wa kuungwa ishu za bundle upande wa tigo naomba amuone pengobovu jana kaniunga fresh kbsa jamaa cyo tapeli kabsa
 
Habari, Mimi nimehitimu course ya uhandisi migodi (Diploma in Mining engineering) . Kwa yeyote ambaye atahitaji ushauri kuhusu uchimbaji wa Madini hasa dhahabu asisite kuwasiliana na Mimi 0627358077
 
Back
Top Bottom