BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 4,773
- 8,431
Nipo dodoma mkuu nina uwezo mkubwa kwenye physics kuanzia form 1 mpka 6Habari wakuu? Poleni kwa majukumu ya ujenzi wataifa.
Natafuta mshirika (partner) ambaye tutaweza tukafungua kituo cha kufundisha tuition, QT, resitters, english course pamoja na computer. Mimi nimefundisha vituo tofauti tofauti kwa muda mrefu nimeona muda sasa umefika nami nijisimamie.
Masomo niliyobobea ni ya Arts (Civics, History, Geography, English na Kiswahili). Kwahyo partner ninayemtafuta ni ambaye anamudu kufundisha masomo ya Mathematics, Chemistry, Physics na Biology. Sio lazima uwe muhitmu wa ualimu kikubwa uwe unamudu kufundisha na uwe na commitment tujitume tufanye kazi.
Nipo Dar es Salaam, ambaye yuko interested inbox ipo wazi.
Tukifanikiwa kuanza naamini mpaka mwakani wakati kama huu tutakuwa tumepiga hatua kubwa tu.
Ahsanteni
Ila chemistry ni o level tu