Uzi wa kupeana connection za kazi kwenye makampuni na kupitia recruitment agency

emmarki

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
682
918
Habari wana jamvi.

Jiji la daslamu limejaa shughuli nyingi kuanzia viwanda vidogo mpk vikubwa, makampuni, mashirika na hata michongo midogomidogo.
Kutokana na uwejezaji huo kwenye sekta mbalimbali kumepelekea kuzaliwa kazi na ajira nyingi.

Wanaowinda kazi ni wengi ila siyo wote wanaojua zinapatikana wapi na wafanye nini wazifikie.
Lengo la uzi huu, ni kwa wote mnaojua kampuni, shirika au kiwanda ambapo mtu anaweza kwenda kutafuta kibarua/kazi/ajira.

Ukiweza toa na eneo ambapo hiyo kazi inapatika na maelekezo mengine ili kumsaidia mwingine. Hii itawasaidia wageni wa jiji na wengine waliongia kwenye kilinge cha maisha baada ya masomo. Karibu sana.

1. Wanaotafuta kazi za CUSTOMER CARE kwenye makampuni ya simu. Voda na Airtel wako chini ya ISON Bpo, peleka CV jengo la fykat towers liko Morocco. DSTV wako chini ya Erolink, peleka cv Morocco

Ongezea pengine watu wawende kujaribu bahati zao. Mishahara ni midogo lkn ukifanya kwa malengo unaweza pata kitu
 
asante kwa taarifa , 0654073693 naomba kama hutojali nitafute kwa hiyo namba ndugu
 
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
 
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Sawa Chief
 
Habari wana jamvi.

Jiji la daslamu limejaa shughuli nyingi kuanzia viwanda vidogo mpk vikubwa, makampuni, mashirika na hata michongo midogomidogo.
Kutokana na uwejezaji huo kwenye sekta mbalimbali kumepelekea kuzaliwa kazi na ajira nyingi.

Wanaowinda kazi ni wengi ila siyo wote wanaojua zinapatikana wapi na wafanye nini wazifikie.
Lengo la uzi huu, ni kwa wote mnaojua kampuni, shirika au kiwanda ambapo mtu anaweza kwenda kutafuta kibarua/kazi/ajira.

Ukiweza toa na eneo ambapo hiyo kazi inapatika na maelekezo mengine ili kumsaidia mwingine. Hii itawasaidia wageni wa jiji na wengine waliongia kwenye kilinge cha maisha baada ya masomo. Karibu sana.

1. Wanaotafuta kazi za CUSTOMER CARE kwenye makampuni ya simu. Voda na Airtel wako chini ya ISON Bpo, peleka CV jengo la fykat towers liko Morocco. DSTV wako chini ya Erolink, peleka cv Morocco

Ongezea pengine watu wawende kujaribu bahati zao. Mishahara ni midogo lkn ukifanya kwa malengo unaweza pata kitu
ni lazima uende physical hakuna namna ya kutuma cv online
 
Back
Top Bottom