TANGAZO
Idara ya Ajira Jimbo Katoliki Same inawatangazia nafasi za kazi katika fani zifuatazo
1. Wahasibu kwa ngazi ya cheti na shada.
2. Mwalimu wa Kilimo kwa ngazi ya shahada
3. Mwalimu wa hesabu kwa ngazi ya shahada
5. Mwalimu wa civics &History kwa ngazi ya shahada
6. Mwalimu wa physics kwa ngazi ya shahada
7. Cheif wa kike mwenye uzoefu wakupika local and international food.
8. Waiter na sio waitress mzoefu katika kazi hii.
Sifa za muombaji:
Awe amefuzu vizuri katika fani husika.
Basi kwa anayetaka kupata fursa hii atumemaombi yake kwa email hii
dosfap2019@gmail.com.
Zingatia yafuatayo:
1.Ambatanisha vyeti vyako vyote pamoja na barua yako ya maombi kisha utapokea ujumbe mfupi wa mwaliko wa usaili baada ya barua na vyeti vyako kupokelewa.
2. Utakapo alikwa kwenye usaili fika na vyeti vyako vyote original copy kwa uhakiki.
3. Msailiwa atakapo itwa kwa usaili atajitegemea kwenye gharama zote zinazomuhusu.
4. Tarehe na mahali usaili utakapo fanyika atakaye chaguliwa kwa usaili atajulishwa.
Padre Bernard Mwainkwa
Kwa niaba ya mwenyekiti kamati ya Ajira Jimbo Katoliki Same.