Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 478
- 962
Habar zenu mabibi na mababu.
Kama mnavojua dunia jinsi inavyoenda kasi hususani katika mapinduzi ya kifedha, sasa hivi ulimwengu unazungumzia cryptocurrency tuu na namna ya kufanya holding ya coin mbalimbali kwa lengo la kutengeneza Pesa. Najua kwa nchi yetu bado tuko nyuma na hata vijana hawataki kutafuta maarifa haya wamebakia kusema ni utapeli huku fursa zikiwapita machoni mwao.
Lengo la uzi huu kwa wale wote trader wa Crypto munao trade na ku hold coin mbalimbali tupeane maujuzi na notifications mbalimbali kwa yanayoendelea kwenye soko la cryptocurrency ikiwemo;
1. Wallet zipi bora za kuhold na kutrade ambazo zina coin nyingi! ukiachana labda na binance, hotbit, bitmart, n.k
2. Coin zipi ni nzuri kununua ambazo zina bei ya chini bado ambazo ni potential zenye projects za maana!
3. Kufahamishana coins mpya zinazoingia sokoni kila siku.
4. Uchambuzi mbalimbali wa coins zilizopo coinMarketcap.
5. Kupeana dondoo coin ambazo zipo kwenye pre-sale kabla ya kuingizwa sokoni.
6. Jinsi ya kufanya staking ya coin ulizo hold (coin kuziweka fixed ili zikuingizie faida kla siku)
7. Matumizi ya P2P hususani kwenye binance wallet.
8. Jinsi gani utanufaika na NFT ( Non Fungible Token).
9. Jinsi ya kuwa localbitcoin broker au binance merchant.
Kwa ujumla mambo yote yanayohusiana na Coin tutajuzana hapa huu uwe uzi wetu wa kujidai kwa wote tunao trade na ku hold coin.
NB: Na kama kuna magroup ya telegram na whatsap kuhusu hizi mambo bhas tunaweza wekeana link hapa tukaenjoi ulimwengu wa cryptocurrency.
Tusinyimane hizi fursa pamoja na kuwa hapa JF kuna vijana wengi wanapotosha na kukatisha wenzao Tamaa ila sie wengine TUMEHAMUKAA...
'The Future is Great '
Kama mnavojua dunia jinsi inavyoenda kasi hususani katika mapinduzi ya kifedha, sasa hivi ulimwengu unazungumzia cryptocurrency tuu na namna ya kufanya holding ya coin mbalimbali kwa lengo la kutengeneza Pesa. Najua kwa nchi yetu bado tuko nyuma na hata vijana hawataki kutafuta maarifa haya wamebakia kusema ni utapeli huku fursa zikiwapita machoni mwao.
Lengo la uzi huu kwa wale wote trader wa Crypto munao trade na ku hold coin mbalimbali tupeane maujuzi na notifications mbalimbali kwa yanayoendelea kwenye soko la cryptocurrency ikiwemo;
1. Wallet zipi bora za kuhold na kutrade ambazo zina coin nyingi! ukiachana labda na binance, hotbit, bitmart, n.k
2. Coin zipi ni nzuri kununua ambazo zina bei ya chini bado ambazo ni potential zenye projects za maana!
3. Kufahamishana coins mpya zinazoingia sokoni kila siku.
4. Uchambuzi mbalimbali wa coins zilizopo coinMarketcap.
5. Kupeana dondoo coin ambazo zipo kwenye pre-sale kabla ya kuingizwa sokoni.
6. Jinsi ya kufanya staking ya coin ulizo hold (coin kuziweka fixed ili zikuingizie faida kla siku)
7. Matumizi ya P2P hususani kwenye binance wallet.
8. Jinsi gani utanufaika na NFT ( Non Fungible Token).
9. Jinsi ya kuwa localbitcoin broker au binance merchant.
Kwa ujumla mambo yote yanayohusiana na Coin tutajuzana hapa huu uwe uzi wetu wa kujidai kwa wote tunao trade na ku hold coin.
NB: Na kama kuna magroup ya telegram na whatsap kuhusu hizi mambo bhas tunaweza wekeana link hapa tukaenjoi ulimwengu wa cryptocurrency.
Tusinyimane hizi fursa pamoja na kuwa hapa JF kuna vijana wengi wanapotosha na kukatisha wenzao Tamaa ila sie wengine TUMEHAMUKAA...
'The Future is Great '