Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Pia call unaungwa Mara moja tu kazi itakuwa wewe na simu yako na chajiMwezi au miezi inakuaje?
Pia malipo Ni baada ya kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia call unaungwa Mara moja tu kazi itakuwa wewe na simu yako na chajiMwezi au miezi inakuaje?
Je nikitaka nipate GB zaidi ya hapo koz GB kwa mwez ni ndogo sana inakaaje hiyoPia call unaungwa Mara moja tu kazi itakuwa wewe na simu yako na chaji
Pia malipo Ni baada ya kazi
Hiyo Sina mkuuJe nikitaka nipate GB zaidi ya hapo koz GB kwa mwez ni ndogo sana inakaaje hiyo
Mfano kwa mwez GB 15 inakaaje hii?
Aah kumbeHapana unaungwa Mara moja mkuu ambapo gb hzo kila mwez unakuwa unapata GB 6 ambazo unatumia siku 14 ndan ya mwezi huu pia mwezi mwingne ukiingia kwa tarehe uliyojiungia itajiupadate automatic nakupata Tena GB 6 hvyo utaenda hvyohvyo Hadi mwaka mzima
Karibu malipo Ni baada ya kazi
So baada ya siku 14 siwez zitumia hata kama hazijaisha itabidi ninunue bundle la kawaida?Hapana unaungwa Mara moja mkuu ambapo gb hzo kila mwez unakuwa unapata GB 6 ambazo unatumia siku 14 ndan ya mwezi huu pia mwezi mwingne ukiingia kwa tarehe uliyojiungia itajiupadate automatic nakupata Tena GB 6 hvyo utaenda hvyohvyo Hadi mwaka mzima
Karibu malipo Ni baada ya kazi
Ndyo mkuu Ni siku 14 tu zinaexpire Hadi Tena mwezi mwingneSo baada ya siku 14 siwez zitumia hata kama hazijaisha itabidi ninunue bundle la kawaida?
Na vip kwenye kupiga simu nayo ni siku 14 kila mwezi?
Hapo umenikosa.
Shukran sana kaka kwa kutokuwa mchoyo wa michongo.Mgahawa unaitwa upcountry Kitchen taste upo mweka - Kilimanjaro , unatangaza nafasi za kazi kwa wahudumu na wapishi wa kike.
Waombaji wawe wakazi wa Kilimanjaro , awe msafi, anayejituma, anayejitambua, wenye uzoefu watapewa kipaumbele.
Maombi yatumwe kupitia whatsapp namba 0752808396 , ujumbe uelezee wasifu wa muombaji pamoja na picha yake full.
Shukran sana Mungu akuongezee wemaHizi nafasi sihusiki nazo na post tu ku share kila ninapoziona,kama zikionekana dalili za kutaka pesa,epukana nao,usinunue kazi.