Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,672
- 2,697
Upo wap
Nipo Mbinga, nasafirisha mikoani.
Upo wap
Kumbe upo kunyumbaNipo Mbinga, nasafirisha mikoani.
Morogoro Mkuu..Uko mkoa gani?
Anahitaji michongo ndugu yetu anataaluma ya Ualimu wa kemia na bailojia.Habari,naomba mwenye michongo ya kazi naomba tuwasiliane PM
Elimu
Ualimu wa chemistry & Biology (SUA)
Useremala bado nipo mafunzoni Ila baadhi ya vitu Kama kutengeneza Meza,stuli na kupiga blandering
Kazi ninazohitaji
-Kufundisha masomo ya kemia na bioloji kwa shule za private jamani ata part time
-Kutengeneza stuli,meza na kupiga blandering
-Vibarua vya ujenzi
Shukrani Sana#Tupeane michongo
Habari,naomba mwenye michongo ya kazi naomba tuwasiliane PM
Elimu
Ualimu wa chemistry & Biology (SUA)
Useremala bado nipo mafunzoni Ila baadhi ya vitu Kama kutengeneza Meza,stuli na kupiga blandering
Kazi ninazohitaji
-Kufundisha masomo ya kemia na bioloji kwa shule za private jamani ata part time
-Kutengeneza stuli,meza na kupiga blandering
-Vibarua vya ujenzi
Shukrani Sana#Tupeane michongo
shukrani Ndugu kwa kukazia Mungu akubarikiAnahitaji michongo ndugu yetu anataaluma ya Ualimu wa kemia na bailojia.
Pia anahitaji mchongo hata wa ufundi seremala.
Tumpe mchongo pia ushauri nin afanye ili kufanikiwa.
Mwenye michongo wa ualimu bhasi amsaidie ndugu yetu aweze jikwamua katika maisha yake.
Asante sana.
Najua ipo siku atakuja mmoja na kutoa ushughuda kuwa uzi huu ulibadilisha maisha yake kwa kupata mchongo kutoka humu.
Hivyo bhas tusisite kusaidia kwa kuwa hatujui kesho tutakuwa wapi.
#
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Asante kwa taarifa,Okay ngoja nijaribuKuna shule ipo kule kiluvya, Gogoni, Dar, inaitwa Kifai, peleka maombi.
Shukran sana kwa kutokuwa mchoyo wa mchongo hakika Mungu atakubariki kwa hili.Kuna shule ipo kule kiluvya, Gogoni, Dar, inaitwa Kifai, peleka maombi.
Ndugu yetu huyu dereva uber anahitaji gari ya kufanyia shughuli za uber..Tupeane mchongo
Tupeane mchongo
Nilileta mchongo wa kutafuta gari ya uber /bolt bado sijapata nimeludi tena kijana mwezenu
Bado sijapata gari akaunti zote ninazo na zipo active
Boss mwenye gari au kama una connection ya gari tusaidiane
0656539177
Nawasilisha
Tupeane mchongo
Tupeane mchongo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Tupo pamoja sana ndugu yangushukrani Ndugu kwa kukazia Mungu akubariki
Mkuu ungetoa full details ili watu tuchangamkie fursaMchongo wa bartender/barmanView attachment 1945222
Ndiyo Mkuu..Kwa hiyo utafata mkoa wowote utakapopatikana
Mkuu ametoa detail katika picha kwamba mtu awe anajua kingereza na awe na uzoefu wa kazi hiyo tajwa.Mkuu ungetoa full details ili watu tuchangamkie fursa