De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
- #221
Anahitaji mchongo ndugu yetu kwa yeyote mwenye connection bhasi asisite kumsaidia ndugu yetu.Habari wakuu
Naomb tusaidian nina diploma ya electrical and electronics engineering
Pia nina ujuzi wa computer Programming
Naomba nisaidiwe Kazi yeyote ya halali, pia kwa kazi za ufundi umeme majumbani, kampuni, kiwandani, n.k
Nipo tayari kutoa ujira wang kwa yeyote atakaenipa mchongo wa kazi yeyote wakat wowote
Uaminifu uwe kipaumbele chetu..
Tusaidiane kwa kuwa sote hatujui kesho yetu.