Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,126
Hii hapa
njaa mkuu, watafanyaje hali mtaani sio powa bora kuhatarisha maisha tuKuna watanzania ni pumbavu sana maana hawajifunzi.
Mpaka roho inauma. Huyu jamaa kawasababishia matatizo mengi sana watanzanianjaa mkuu, watafanyaje hali mtaani sio powa bora kuhatarisha maisha tu
Basi sio singida ni, canada!!Chadema uandishi wenu uko very shallow
Hilo tukio lilikuwa singida eneo gani speciffically ? na lilitokea lini?
Bila hayo majibu huo ni uzushi kama uzushi mwinhine picha yaseza kuwa ya miaka huko nyuma na wala ikawa sio singida maana kwa uzushiChadema mna Phd
mkuu mie naona yuko sawa tu maana kuna video ilikuwa inatembea ile jamaa zake wanamwambia achukue fomu ya uraisi anasema mimi nikiwa raisi watu watalimia menoMpaka roho inauma. Huyu jamaa kawasababishia matatizo mengi sana watanzania
Wanaelewa Ila hawana jinsi(high-risk takers)😭😭
Ninayo hiyo video, na miongoni mwa waliokuwa wanamshauri alimtumbua baada ya kuingia bungeni akiwa amelewa chakariiii😂😂mkuu mie naona yuko sawa tu maana kuna video ilikuwa inatembea ile jamaa zake wanamwambia achukue fomu ya uraisi anasema mimi nikiwa raisi watu watalimia meno
ila hatukuelewa tukampa sasa leo mtu anahatarisha uhai wake kuogopa kuendelea kulimia meno.
Ni umasikini tu hakuna kitu kingine!!!maskini siku zote huwa hafikirii sana risk juu ya kile kinachoweza kutokea na kuhatalisha maisha yake, na endapo likitokea anakwambia ni mipango ya mungu!!ajari kama hiyo ikitokea mitaa ya ostabey/masaki, huwezi ukaona wakazi wa kule wakifanya hayo!!!!Kuna watanzania ni pumbavu sana maana hawajifunzi.
Naomba hiyo fideo Bossmkuu mie naona yuko sawa tu maana kuna video ilikuwa inatembea ile jamaa zake wanamwambia achukue fomu ya uraisi anasema mimi nikiwa raisi watu watalimia meno
ila hatukuelewa tukampa sasa leo mtu anahatarisha uhai wake kuogopa kuendelea kulimia meno.
hao watu tunaomba wakamatwe maramoja, jeshi la polisi mko wapi. Kamateni hao watu tumechoka kutoa salamu za rambirambi na kusikitika. Kamata hao watu peleka jela.
Polisi wapo hapohapo,nao wanavizia wauziwe kwa bei poa waweke kwenye zile Gari zao za binafusi,wanaxotumiaga kujificha porini ili wapige tochi.hao watu tunaomba wakamatwe maramoja, jeshi la polisi mko wapi. Kamateni hao watu tumechoka kutoa salamu za rambirambi na kusikitika. Kamata hao watu peleka jela.
nimeandika uzi wa kutunga sheria ya kifungo cha maisha jela.Polisi wapo hapohapo,nao wanavizia wauziwe kwa bei poa waweke kwenye zile Gari zao za binafusi,wanaxotumiaga kujificha porini ili wapige tochi.
Mkuu wasameheni tu,wapewe elimu tu maana maisha yamekuwa magumu sana awamu hii.nimeandika uzi wa kutunga sheria ya kifungo cha maisha jela.
YEHODAYA kumbe wewe Ni msingidani.Chadema uandishi wenu uko very shallow
Hilo tukio lilikuwa singida eneo gani speciffically ? na lilitokea lini?
Bila hayo majibu huo ni uzushi kama uzushi mwinhine picha yaseza kuwa ya miaka huko nyuma na wala ikawa sio singida maana kwa uzushiChadema mna Phd
It is either death by starvation later or by fire today.Ni umasikini tu hakuna kitu kingine!!!maskini siku zote huwa hafikirii sana risk juu ya kile kinachoweza kutokea na kuhatalisha maisha yake, na endapo likitokea anakwambia ni mipango ya mungu!!ajari kama hiyo ikitokea mitaa ya ostabey/masaki, huwezi ukaona wakazi wa kule wakifanya hayo!!!!