ANA MATONGE MAKUBWA SANA
poacher huyo; alikuwa na njaa akaamua kuvizia chakula cha wafungwa!Anaonekana ni mzuri kwenye kukomba mboga
Yeah! Like that of your mother who...! Aaagh! Let me not finish!!!One of the dumbest stunts I’ve ever seen!!
One of the dumbest stunts I’ve ever seen!!
Ndugu yangu wee. Hapo kama kuna mmoja anayo sijui wengine wataponaje. Kwanza hata huu mtindo wa kumega ugali na kuchovya kwa kuchangia wengi hawautumii siku hizi. Mbona sahani zipo nyingi na bei ni rahisi kabisa?..Na corona yote hii wanajikusanya na kufakamia ugali namna hiyo?
Hata tukiiweka kando corona, hygiene-wise bado si vizuri wote kuchovya matonge yao kwenye bakuli moja...Na corona yote hii wanajikusanya na kufakamia ugali namna hiyo?
Ila binadamu bana...mtu unaweza kupendekeza kila mtu atumie sahani yake ila ukaishia kuonekana unajifanya mzungu...Ndugu yangu wee. Hapo kama kuna mmoja anayo sijui wengine wataponaje. Kwanza hata huu mtindo wa kumega ugali na kuchovya kwa kuchangia wengi hawautumii siku hizi. Mbona sahani zipo nyingi na bei ni rahisi kabisa?
Jamani jamani jamani🤣🤣🤣🤣Anaonekana ni mzuri kwenye kukomba mboga