Uwezekano wa vita kati ya Urusi na Ukraine

sina maana iyo mkuu siwez idharau urusi hata kdogo wkt ni ya pili dunian kwa nguvu za kjeshi kama n ya pili maana yake yupo wa kwanza
nlichosema ni kwmb iktokea vita kamili kati ya urusi na washrika wake na marekan na washrika wake ukwel n kwamba urusi hiyo vita hawez shnda hapa tutabshana kshabk tu ingawa baada ya vita kuna mataifa yatakuwa yamepotea kbs

Na wewe unanishangaza kuwabeza nato na marekani na isingekuwa nato na marekan kusogea pale ukraine kwa jeuri ya putin angeshaingia ukraine muda mrefu sana lakn unadhan yeye haijui nguvu ya nato na marekani
mtu wake wa hv karibun turkey ameshamsaliti yuko upande wa ukraine

Vita ni uchumi na tech urusi hana uchumi wa kupgana na hao mabeberu hata kwa miez 4 tu kwa mujbu wa data za kiuchumi dunian kuna majmbo tu ya marekan yanaizd urusi uchumi.

Kuhusu tech hasa za kvta huwa nafatilia pia kati ya marekan na urusi iko waz mrusi ameonekana kufanya vzuri sn kwny vifaru na air defence haya ma s yake

Lakn linapokuja swala ndege marekan yuko mbali sn urusi hamgusi kiujumla vita ya anga marekan ni hatari ndo maana putin anapambana kuboresha air defence
kuhusu hayo mabalistics hayo hata marekan anayo ya kutosha ila ni swala la timing tu.

Tukileta ushabiki humu ndo yale eti north korea anaweza mpga marekan au iran anaweza mpga marekani huu ndo ushabk tu ila ukweli mtu wa kumtetemesha marekan ni urusi tu uyo mchina ni mrembo sn ndo maana katshwa kdogo tu khs hongkong kanywea taiwan ndo hawez jaribu kbs.
Bado unaongea kiushabiki Russia hawezi kupigwa kwa sababu na yeye ana Washirika wake pia ambao Ni China , Iran , Korea kaskazini , Mbaya zaidi hayo mataifa yote Yana tumia nyukilia , Unadhani Russia atapigwa siitakuwa unaota mkuu,, na hiyo haitokuwa Vita ya Russia na USA pa1 na Washirika wake Bali hiyo itakuwa ni WW3 Kwa sababu ya nguvu ya kijeshi na ya ushawishi ambayo mataifa hayo mawili wanayo " so usitegemee kuwa Kuna Vita hapo ambayo itatokea Hakuna ambaye atakaye kuwa tayari kuona Mataifa Yao yanageuka majivu na kuanza Maisha yao upya ktik dimbwi la Umasikini
 
Tupe nondo mkuu hasa hiyo paragraph ya pili,ni muhimu sana tujue mambo haya
Mkuu mnamo mwaka Jana chini ya Utawala wa Trump , the hegue walitoa Tamko kwamba Wanataka USA ichunguzwe kuhusu kuivamia Iraq na Lybia The hegue wanaamini kwamba Kuna uhuni ambao USA waliufanya kwaajili ya interest zao binafsi za kisiasa na kiuchumi halafu wakaiaminisha Dunia ndivyo sivyo kuhusu mataifa hayo waliyo yavamia , Ajabu Ni kwamba serikali ya USA baada ya kupata hiyo report toka the hegue walikuja juu Sana na hawakuwa tayari kukubali kuchunguzwa

So nilichokuwa namueleza Jamaa hapo juu Ni kwamba hii Dunia Ina watawala na watawaliwa, Watawala ndio hayo Mataifa makubwa yenye nguvu ya kiuchumi , kisiasa na kijeshi, Baina Yao hakuna hata 1 ambaye yupo kwaajili ya kuipigania Dunia pasipo kuwa na interest zake binafsi , Katika ulimwengu ili Kundi la watu fulani au Wanyama fulani liweze ku survive Ni lazima kundi la watu fulani au Wanyama fulani liumizwe , lidhurumiwe, lipokonywe Haki zao ( sitetei uvamizi wa Urusi kwa Ukraine ) lakini huo ndio uhalisia wa maisha jinsi ulivyo
 
Bado unaongea kiushabiki Russia hawezi kupigwa kwa sababu na yeye ana Washirika wake pia ambao Ni China , Iran , Korea kaskazini , Mbaya zaidi hayo mataifa yote Yana tumia nyukilia , Unadhani Russia atapigwa siitakuwa unaota mkuu,, na hiyo haitokuwa Vita ya Russia na USA pa1 na Washirika wake Bali hiyo itakuwa ni WW3 Kwa sababu ya nguvu ya kijeshi na ya ushawishi ambayo mataifa hayo mawili wanayo " so usitegemee kuwa Kuna Vita hapo ambayo itatokea Hakuna ambaye atakaye kuwa tayari kuona Mataifa Yao yanageuka majivu na kuanza Maisha yao upya ktik dimbwi la Umasikini
uksema ushabk kaka hata wewe unaongea kshabk hvi iran nae unamuweka kama mtu wa kuweza pambana na nato? Aahahaaha mkuu hebu acha bhana iran huyuhuyu ambaye zktengwa vita kamili hata ufaransa tu anamtosha kbs

Unaposema urusi hawez pgwa huo pia ni ushabk tu kaka. Ukumbuke urusi 90% amezungukwa na washrka wa marekani tu hakuna vita isiyokuwa na mshnd na mshnd anatabiliwa kwa kuangalia ana washrka wny nguvu kias gani mshrka mwny nguvu wa urusi ni china tu. Huyo north korea huyo si hata ndugu yake south korea anammalza tu. Au ndo unangalia yale makelele ya kduku kurusha yale maroketi ahaahahaah haya mkuu haina shda

Kuhusu matumiz ya nuclear mbona nimeshasema hapo ni timing tu atakayewahiwa amekwsha ndan ya sekunde tu vita imeisha
 
Mkuu mambo yanaenda kwa history juzi tu hapa tumejionea, hao Nato kikiumana huwa wanakaa mbali sana kama walivyofanya miaka michache iliopita
nakuelewa kamanda nato kwa urusi hawez kbs bila ushabk nato hawez shnda vita kwa urusi ni mwendawazmu tu ndo anaweza kubsha hli. Lakn urusi anaweza ingiwa woga kdogo linapokuja swala la marekani tyr hapo n shda. Ndo maana nikasema bila marekan na nato kuinglia kati putin mpk mda huu angeshaifanya ukraine jmbo la urusi lakn kasta kdogo we check youtube uone maandalz aliyoyafanya lakn wala hajaingia ukraine katulia mpakan ukraine wanamwambia ingia uone lakn hajaingia na akiingia kuna uwezekano vita ikawa mbaya sn na kali sn tena itachukua muda mrefu kama ya syria lakn ukraine itachakaa.
 
Mkuu mnamo mwaka Jana chini ya Utawala wa Trump , the hegue walitoa Tamko kwamba Wanataka USA ichunguzwe kuhusu kuivamia Iraq na Lybia The hegue wanaamini kwamba Kuna uhuni ambao USA waliufanya kwaajili ya interest zao binafsi za kisiasa na kiuchumi halafu wakaiaminisha Dunia ndivyo sivyo kuhusu mataifa hayo waliyo yavamia , Ajabu Ni kwamba serikali ya USA baada ya kupata hiyo report toka the hegue walikuja juu Sana na hawakuwa tayari kukubali kuchunguzwa

So nilichokuwa namueleza Jamaa hapo juu Ni kwamba hii Dunia Ina watawala na watawaliwa, Watawala ndio hayo Mataifa makubwa yenye nguvu ya kiuchumi , kisiasa na kijeshi, Baina Yao hakuna hata 1 ambaye yupo kwaajili ya kuipigania Dunia pasipo kuwa na interest zake binafsi , Katika ulimwengu ili Kundi la watu fulani au Wanyama fulani liweze ku survive Ni lazima kundi la watu fulani au Wanyama fulani liumizwe , lidhurumiwe, lipokonywe Haki zao ( sitetei uvamizi wa Urusi kwa Ukraine ) lakini huo ndio uhalisia wa maisha jinsi ulivyo
Hapo nimeelewa vyema sana mkuu,shukrani sana,hawataki kuchunguzwa kwa kuwa wana mambo yao nyuma ya pazia,hawataki yaje kuwa revealed
 
una masihara ujue yaani unaichukulia Russia Kama yemen, Tusubiri tuone mwisho utakuwaje ndio uje na hizi argument zako
Kakunaanayeidharau Russia hapa,labda awe hana akili,issue ni hali halisi ilivyo,ukweli ni kwamba Sio Russia wala Nato wanatamani hiyo viya.Ukrain ni mpakani na Russia tena mdomoni kabisa,wewe unafikiri Russia ni kichaa aruhusu Ukrain kuwe uwanja wa vita kati yake na NATO?,vita ipiganwe kwenye mdomo wa Russia?.Russia alishaichukua Crimea na anawa support separalist kule eastern Ukrain Donetsk na Luhansk,Jumuiya ya kimataifa italaumu sana urusi kama ataivamia Ukrain maana hata wakienda UN security council hata marafiki zake wataona aibu kum support sababu yeye ndio mvamizi.Wanatotaka Nato ni Russia aanze kuingia Ukrain ili wapate sababu ya kupigana nae vitani na kisiasa pia.Russia ndio maana yuko tu mpakani hataki kuonekana yeye ndio mchokozi kuingia Ukrain,nato nao wanamsubiri ajiingize wapate sababu kimataifa...
 
sina maana iyo mkuu siwez idharau urusi hata kdogo wkt ni ya pili dunian kwa nguvu za kjeshi kama n ya pili maana yake yupo wa kwanza
nlichosema ni kwmb iktokea vita kamili kati ya urusi na washrika wake na marekan na washrika wake ukwel n kwamba urusi hiyo vita hawez shnda hapa tutabshana kshabk tu ingawa baada ya vita kuna mataifa yatakuwa yamepotea kbs

Na wewe unanishangaza kuwabeza nato na marekani na isingekuwa nato na marekan kusogea pale ukraine kwa jeuri ya putin angeshaingia ukraine muda mrefu sana lakn unadhan yeye haijui nguvu ya nato na marekani
mtu wake wa hv karibun turkey ameshamsaliti yuko upande wa ukraine

Vita ni uchumi na tech urusi hana uchumi wa kupgana na hao mabeberu hata kwa miez 4 tu kwa mujbu wa data za kiuchumi dunian kuna majmbo tu ya marekan yanaizd urusi uchumi.

Kuhusu tech hasa za kvta huwa nafatilia pia kati ya marekan na urusi iko waz mrusi ameonekana kufanya vzuri sn kwny vifaru na air defence haya ma s yake

Lakn linapokuja swala ndege marekan yuko mbali sn urusi hamgusi kiujumla vita ya anga marekan ni hatari ndo maana putin anapambana kuboresha air defence
kuhusu hayo mabalistics hayo hata marekan anayo ya kutosha ila ni swala la timing tu.

Tukileta ushabiki humu ndo yale eti north korea anaweza mpga marekan au iran anaweza mpga marekani huu ndo ushabk tu ila ukweli mtu wa kumtetemesha marekan ni urusi tu uyo mchina ni mrembo sn ndo maana katshwa kdogo tu khs hongkong kanywea taiwan ndo hawez jaribu kbs.
Watu wanachukulia poa sana Nato,wamesahau kitu Russia hawezi ruhusu ni vita kupiganiwa mdomoni mwake,halafu ionekane yeye ndio mchokozi kaanza kuivamia Ukraine hata wakienda UNSC rafiki zake wataona hata aibu kum support sababu ataonekana mvamizi.in this 21st century huwezi vamia nchi huru watu wakakuangalia tu.Hata marekani kuivamia Iraq alifanya makosana ndio maana Urusi na China walikuwa wakimpinga kila wakienda UNSC.
 
Mrusi yuko ndani ya Ukraine mda mrefu sana anzia 2013 huko..ila yuko kama hayuko ile mabeberu wanaita hybrid warfare..kichapo cha kijeshi kutoka kwa "waasi", vita ya uchumi, vita vya kimtandao (cyberwarfare) pamoja pia kuchukua jimbo la crimea. Sababu kubwa ni kwamba ukraine magharibi wanataka kujiunga na NATO (wakifanikiwa basi NATO itakuwa inapakana uso kwa uso na urusi jambo ambalo Putin ameapa halitatokea)..Lakini kwa upande mwingine wa ukraine wenyewe wameharibu kwani wamewatenga wenzao wa majimbo ya mashariki wanaongea kirusi (hakuna lugha ya kirusi kutumika mashuleni kwenye tv, radio nk..kifupi kufuta kabisa mila tamaduni na historia yao).Binafsi kwa hili tukio la juzi sioni urusi kosa lake nini manake majeshi ni yake na yako ndani ya ardhi ya urusi popote yatakapolekwa ndani ya urusi haiwahusu NATO kabisa. ni kama vile wabongo tupeleke majeshi kigoma jumuiya ya africa iseme tutachezea kichapo kwann tumepeleka majeshi kigoma...Lakini la mwisho kabisa haitatokea KAMWE NATO/Marekani wapigane na urusi (au urusi ipigane na NATO/Marekani) vita ya moja kwa moja/uso kwa uso (labda vita za kutumia waasi wakati wenyewe wamekaa kando) kwa kuwa huo ndo utakuwa mwisho wa dunia hii tunayoifahamu sasa manake wote wana silaha za nyuklia za kuangamiza hii dunia zaidi ya mara ishirini (yaani dunia kama yetu ziwe ishirini hivi)..mwishowe watapigana mikwara vikwazo kisha watakaa mezani waongee
Urusi aliikalia Crimea kwa nguvu sababu wanazungumza kirusi na pia kulikuwa na Base ya Urusi pale,ni strategic area kama moyo kwa Urusi,lakini pia hiyo haifanyi iwe sahihi.Kundesha prox war Ukrain ni tofauti kabisa na kuingiza jeshi ukrain,Urusi angetaka kuichukua Ukrain yote angeweza kufanya hivyo ila aichukue halafu iwe nini? aikalie kikoloni ama?yaani iwe kama enzi za WW2 walivyoikalia Germany?,Halafu baadae lengo liwe nini hasa?Ukrain iwe urusi au?.Vitu vingine hata havina maana ukifkiria kiundani.
Urusi anaendesha proxy war eastern Ukrain sababu anajua fika kuivamia Ukraine kwa jeshi la Urusi its na big mistake,na hakuna nchi itam support dunia hii,hii itafanya hata vita yake kuwa ngumu,sababu hata UNSC wataona ni sahihi kwa Nato na wengine kuingia vitani kuikomboa Ukraine,hii itgazusha vita mbaya saba ambayo nin uhakika hata Putin na Russia yake wanaelewa na hawataki hili litokee,maana watatengeneza vita kubwa ya muda mrefu isiyo na maslahi kwa Uchumi wa Urusi.
 
Urusi aliikalia Crimea kwa nguvu sababu wanazungumza kirusi na pia kulikuwa na Base ya Urusi pale,ni strategic area kama moyo kwa Urusi,lakini pia hiyo haifanyi iwe sahihi.Kundesha prox war Ukrain ni tofauti kabisa na kuingiza jeshi ukrain,Urusi angetaka kuichukua Ukrain yote angeweza kufanya hivyo ila aichukue halafu iwe nini? aikalie kikoloni ama?yaani iwe kama enzi za WW2 walivyoikalia Germany?,Halafu baadae lengo liwe nini hasa?Ukrain iwe urusi au?.Vitu vingine hata havina maana ukifkiria kiundani.
Urusi anaendesha proxy war eastern Ukrain sababu anajua fika kuivamia Ukraine kwa jeshi la Urusi its na big mistake,na hakuna nchi itam support dunia hii,hii itafanya hata vita yake kuwa ngumu,sababu hata UNSC wataona ni sahihi kwa Nato na wengine kuingia vitani kuikomboa Ukraine,hii itgazusha vita mbaya saba ambayo nin uhakika hata Putin na Russia yake wanaelewa na hawataki hili litokee,maana watatengeneza vita kubwa ya muda mrefu isiyo na maslahi kwa Uchumi wa Urusi.
Sidhani kama Putin ana akili za kimwehu namna hiyo mpaka kuamrisha majeshi yake kuingia Ukraine..kama ulivyosema sehemu kubwa ya vitu alivyovitaka Putin amevipata (kurejeshwa kwa Crimea ndani ya himaya ya dola ya urusi, NATO kushindwa "kuimeza" Ukraine manake migogoro imezuia hilo, "kuwaadhibu" watawala wa Kiev kwa "kihere here" chao cha kuipa kisogo urusi na kujiunga na ulaya magharibi na kikubwa zaidi kuwanyima mapato yatokanayo na bomba la mafuta na gesi linalopita kwenye ardhi ya ukraine kwenda ulaya magharib kwa kujenga njia mbadala kupita chini ya bahari kwenda kutokea ujerumani ingawa vikwazo vya marekani vimechelewesha hili). Urusi sidhani kama ana mpango wa kuingiza majeshi yake ukraine zaidi ya mbwembwe na kupeleka ujumbe mahsusi kwa watawala walioko Kiev..
 
Sidhani kama Putin ana akili za kimwehu namna hiyo mpaka kuamrisha majeshi yake kuingia Ukraine..kama ulivyosema sehemu kubwa ya vitu alivyovitaka Putin amevipata (kurejeshwa kwa Crimea ndani ya himaya ya dola ya urusi, NATO kushindwa "kuimeza" Ukraine manake migogoro imezuia hilo, "kuwaadhibu" watawala wa Kiev kwa "kihere here" chao cha kuipa kisogo urusi na kujiunga na ulaya magharibi na kikubwa zaidi kuwanyima mapato yatokanayo na bomba la mafuta na gesi linalopita kwenye ardhi ya ukraine kwenda ulaya magharib kwa kujenga njia mbadala kupita chini ya bahari kwenda kutokea ujerumani ingawa vikwazo vya marekani vimechelewesha hili). Urusi sidhani kama ana mpango wa kuingiza majeshi yake ukraine zaidi ya mbwembwe na kupeleka ujumbe mahsusi kwa watawala walioko Kiev..
Hapo nimekupata mkuu uliposema putin anafanya mbwembwe tu lakn uwenda hana nia ya kukanyaga ukraine

Bila ushabk ukraine ni muhmu sn kijesh na kiulnzi kwa urusi na nato hvyo wote hawawez kuiacha ndo maana pamoja na nguvu na jeuri ya urusi lakn nato na marekan wameona enough is enough wamepeleka jeshi huko hawako tyr urusi avamie na akae pale na kiukwel kwa yale maandalz aaah putin angekuwa ukraine muda sn hata kama n mbwembwe hapana putin alidhamilia kuingia ukraine tuache utani mmmh nliona youtube ni hatari.
Ila urusi uwenda atakuwa ameingia woga kuona nato na marekan wapo ndan ya ukraine wakmsubiri urusi aingze jesh ukraine na uwenda putin alidhan itakuwa kama alivyofanya kwny lile jmbo alilobeba na akakaa.
Sasa kwa maamuz haya ya nato na marekan uwenda pia hata iyo proxy war huko eastern ikawa ngumu sn kwa hao wanao supportiwa na urusi
ngoja tuone.
 
mkuu vita ni uchumi na technology acha utan kbs hata knachomfanya myahud awe na kiburi pale mashariki ya kati ni tech na uchumi.

Urusi ni ngumu sn kushnda vita ikiwa nato na marekan kwel wameamua kupgana vita kamili acha utani kbs
Marekani miaka yote hawezi simama vitani dhidi ya Urusi daima anakaa nyuma ya Nato na kumbuka nato inajumuisha nchi 28...


Fikiria nchi 28 zinatunisha msuli kuikabili nchi moja
 
Marekani miaka yote hawezi simama vitani dhidi ya Urusi daima anakaa nyuma ya Nato na kumbuka nato inajumuisha nchi 28...


Fikiria nchi 28 zinatunisha msuli kuikabili nchi moja
Urusi lini amesimama vita na Marekani? kama Urusi haijasimama vita na marekani,kwa nini marekani asimame nae?..Yaani unaizungumzia Marekani as if unazungumzia nchi ya Dunia ya tatu.Tupunguza ushabiki maandazi
 
Hapo nimekupata mkuu uliposema putin anafanya mbwembwe tu lakn uwenda hana nia ya kukanyaga ukraine

Bila ushabk ukraine ni muhmu sn kijesh na kiulnzi kwa urusi na nato hvyo wote hawawez kuiacha ndo maana pamoja na nguvu na jeuri ya urusi lakn nato na marekan wameona enough is enough wamepeleka jeshi huko hawako tyr urusi avamie na akae pale na kiukwel kwa yale maandalz aaah putin angekuwa ukraine muda sn hata kama n mbwembwe hapana putin alidhamilia kuingia ukraine tuache utani mmmh nliona youtube ni hatari.
Ila urusi uwenda atakuwa ameingia woga kuona nato na marekan wapo ndan ya ukraine wakmsubiri urusi aingze jesh ukraine na uwenda putin alidhan itakuwa kama alivyofanya kwny lile jmbo alilobeba na akakaa.
Sasa kwa maamuz haya ya nato na marekan uwenda pia hata iyo proxy war huko eastern ikawa ngumu sn kwa hao wanao supportiwa na urusi
ngoja tuone.
proxy war lazima iwe upande wa urusi kutokana na jiografia ilivyo majimbo haya yanapakana moja kwa moja na urusi hivyo wanajeshi waasi kuingia na kutoka urusi ni kama nyumbani hali kadhalika vifaa vya kijeshi.nnachokiona kikubwa sana putin hataki kuyachukua haya majimbo ni gharama za "kuyatunza" mf mishahara ya watumishi, huduma za afya, mashule, miundo mbinu nk hivi vyote urusi atalazimika kuvigharamia endapo atayachukua haya majimbo kama ilvyokuwa kwa Crimea ambapo urusi walilazimika kumimina mabilioni ya dola kufufua miundombinu na hali ya uchumi kwa ujumla vifanane fanane na vya urusi..
 
Urusi lini amesimama vita na Marekani? kama Urusi haijasimama vita na marekani,kwa nini marekani asimame nae?..Yaani unaizungumzia Marekani as if unazungumzia nchi ya Dunia ya tatu.Tupunguza ushabiki maandazi
na ndo hapo huwa nachoka sn kuna raia wanaibeza marekan kwa urusi sababu tu urusi ana mbwembwe sn linapofka swala la siraha tofaut na marekani lakn nilikuwa nafatilia utengenezaj wa siraha nikaona hata siraha nyng mfano ndege vita marekan yuko mbal sn unakuta ndege katengeneza miaka mingi sn urusi nae ndo anakuja kujbu lakn bdo hawez fkia performance ya ndege za marekan hata mchina ndege aliyonayo kwasasa anayotamba nayo ni j20 copy ya f22 raptor ya marekani ambayo ina miaka sasa lakn mchina ndo katoa juz juz akijaribu kumjbu marekan
watu wanashndwa kuelewa mataifa yenye nguvu kjesh always miaka yote marekan n namba moja.
Humu kuna watu bila aibu unakuta wanatamba iran anamuweza marekan yan kuna vituko sn humu.
Au eti north korea anamuweza marekani
wanashndwa kuelewa marekan haend vitan kpuuz puuz tu.
Ila full war kbs bila ma nuclear ikpganwa vita kati ya nato na urusi bila marekani bdo urusi itampa shda sn kupgana na nato bila ushabk simaanish urusi atapgwa ila itampa shda na uwenda baada ya vita atakuwa amekwsha kbs kiuchumi.
All in all putin ni mtu hatari nato wanajua marekan wanajua tatzo uchumi wake ndo unamuangusha.
 
nakuelewa kamanda nato kwa urusi hawez kbs bila ushabk nato hawez shnda vita kwa urusi ni mwendawazmu tu ndo anaweza kubsha hli. Lakn urusi anaweza ingiwa woga kdogo linapokuja swala la marekani tyr hapo n shda. Ndo maana nikasema bila marekan na nato kuinglia kati putin mpk mda huu angeshaifanya ukraine jmbo la urusi lakn kasta kdogo we check youtube uone maandalz aliyoyafanya lakn wala hajaingia ukraine katulia mpakan ukraine wanamwambia ingia uone lakn hajaingia na akiingia kuna uwezekano vita ikawa mbaya sn na kali sn tena itachukua muda mrefu kama ya syria lakn ukraine itachakaa.
Georgia alipigwa mpaka ndani ya nchi yake na urusi hao NATO na USA waliishia kuweka vikwazo tu.
 
Georgia alipigwa mpaka ndani ya nchi yake na urusi hao NATO na USA waliishia kuweka vikwazo tu.
Je nato na marekan walipeleka jesh georgia?

Sasa ukraine jamaa wamepeleka jeshi wanamwambia urusi aingie ndani kama ye mwanaume. Mpk dk hz hajaingia pamoja na mandalz aliyofanya.

Nb: siwabez urusi kbs ni taifa la pili kwa nguvu za kjesh dunian hawana masihara kbs. Lakn usje ukajdai haijui nguvu ya nato au haijui nguvu ya marekan taifa la kwanza kjesh duniani. Na ndo maana wanaheshmiana mpk dk hii urusi kawagonga wale islamic state lakn hajamgusa marekani yupo syria anakunywa mafuta ya syria kwa raha zake.

Endapo ikzuka vita ukraine uwenda ikawa vita kubwa na hatari sn kutokea ukumbuke itapganwa nyumban kbs kwa urusi huku uwanja ukiwa ukraine unadhan putin ye kchaa.
Ni sawa na china kuigusa taiwan huku anajua kuna mkono wa marekan pale taiwan hata siraha zote taiwan ananunua marekan unadhan iktokea vita taiwan nn ktatokea maana itakuwa inapganwa hapo china kbs unadhan xi ji ping ni mwehu.
 
Je nato na marekan walipeleka jesh georgia?

Sasa ukraine jamaa wamepeleka jeshi wanamwambia urusi aingie ndani kama ye mwanaume. Mpk dk hz hajaingia pamoja na mandalz aliyofanya.

Nb: siwabez urusi kbs ni taifa la pili kwa nguvu za kjesh dunian hawana masihara kbs. Lakn usje ukajdai haijui nguvu ya nato au haijui nguvu ya marekan taifa la kwanza kjesh duniani. Na ndo maana wanaheshmiana mpk dk hii urusi kawagonga wale islamic state lakn hajamgusa marekani yupo syria anakunywa mafuta ya syria kwa raha zake.

Endapo ikzuka vita ukraine uwenda ikawa vita kubwa na hatari sn kutokea ukumbuke itapganwa nyumban kbs kwa urusi huku uwanja ukiwa ukraine unadhan putin ye kchaa.
Ni sawa na china kuigusa taiwan huku anajua kuna mkono wa marekan pale taiwan hata siraha zote taiwan ananunua marekan unadhan iktokea vita taiwan nn ktatokea maana itakuwa inapganwa hapo china kbs unadhan xi ji ping ni mwehu.
NATO hajapeleka jesh Ukraine kwa sabab si mwanachama wao na ndio maana rais wa Ukraine anachagiza apewe uwanachama,lkn miongon mwa memba wa NATO wamemuhakikishia kumuunga mkono km kikinuka na urusi,Urusi alishatoa angalizo kuwa ikitokea Tanzania nato au yeyote akipeleka jeshi ndani ya Ukraine moja kwa moja yey atachukulia km uchokoz ambao utajibiwa ipasavyo na tayar jesh ameshaliweka mpakan sasa kulingana na hapa walipofikia inamaana matembo wote wanachukua hatua kwa tahadhar mno kwa sabab ikitokea kosa dogo tu ulaya yote haitakalika.
 
Back
Top Bottom