Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,622
- 31,136
Korea north wala hajazuiwa sababu wakumzuia inaonekana mpaka sasa hajatokeaNani kamzuia North Korea asiwe na mikataba yake?
Mbona Russia yuko Syria, Turkey yuko Azerbaijan, Iran yuko Iraq na Syria, etc
ila anaona yeye mwenyewe anaweza kudeal nahayo mambo ndio maana yuko mwenyewe